Ulinitesa sana, sababu nilikupenda

Ulinitesa sana, sababu nilikupenda

Nipe namba yake chifu..
Nipambane na hali yang
 
Akakuzaba kibao? Huko alikotegemea atapata pumziko kumemtenda sivo ndio mana amerudi, kwa kua umemsamehe sawa lakini me ningekua ni wewe ningemsamehe huku namtakia kila heri kimoyomoyo maisha yaende tu,
hapa jamaa amekuwa kama faliing cushion.
 
Habari wadau,

Leo jioni nimepokea simu kutoka kwa aliekua mpenzi wangu wa zamani, amenipigia simu na kuniomba msamaha kwa alionifanyia miaka 5 ilopita.

nilimpenda sana kuliko hata nilivyojipenda mwenyewe ila alinitesa sana,, nilivumilia mateso yake kwa sababu penzi langu kwake lilikua kubwa kuliko maumivu aliyokua ananipa.

kuna siku moja alihamaki kisa sikuwa na pesa ya kumnunulia viatu alivyokua anataka, tulivyorudi nyumbani nikamwambia anipe muda nipambane ili siku moja nkipata pesa nkamnunulie hivyo viatu.

Ila hakutaka kusikia chochote, akaanza kunitukana na kuniambia mimi ni boya na mzigo kwake, sina mchango wowote katika maisha yake zaidi ya kumpotezea muda tu. akaniambia rafiki zake wote wapenzi wao wanawanunulia vitu vizuri.

Aliponiambia hivyo niliumia sana moyoni, nikajikuta nimemwambia "basi na wewe nenda kwa hao rafiki zako wakutafutie mwanamme tajiri" .. baada ya kumwambia hivyo akanizaba kibao. akaniambia "usnitafute tena".

nililia sana siku hiyo hadi nikaishiwa na machozi, nikawa sina furaha tena, nilikua naona bora nife tu ili nipate kujipumzikia.

baada ya miezi 3, kidogo kidogo nikaanza kumsahau, nikaanza kutabasamu na kucheka tena. ilikua hadi nisha sahau namna ya kucheka, siku nacheka nilijihisi kama nipo ndotoni.

miaka 5 imepita, na leo ndio ameamua kunipigia simu na kuniomba msamaha na kuniambia anataka turejeane. nikamwambia nimekusamhe ila sitaweza kuwa nawe maana ninae mke ambae nampenda nae ananipenda, ameniambia hakutegemea kama nitamsamehe ila nimemwambia kuwa nilikuwa nimekusamehe tangia siku ulipo ondoka, akaanza kulia,,, akniambia hata pata mwanamme mwingine ataempenda sana kama mimi.
wa dizaini hii huwa wakirudi kwangu nawala tigo tu ili kufidia machungu aliyonifanyia
 
Yaani alikuzaba vibao ukaanza kulia na hukumfanya chochote!!... aisee, hakika hatopata mwanaume kama wewe tena maishani na ndio maana karudi kwako, usikute uko alipoenda kakutana na mwanaume wa Tarime akajua yupo kama wewe akachezea vitasa
Hahaha
 
Habari wadau,

Leo jioni nimepokea simu kutoka kwa aliekua mpenzi wangu wa zamani, amenipigia simu na kuniomba msamaha kwa alionifanyia miaka 5 ilopita.

nilimpenda sana kuliko hata nilivyojipenda mwenyewe ila alinitesa sana,, nilivumilia mateso yake kwa sababu penzi langu kwake lilikua kubwa kuliko maumivu aliyokua ananipa.

kuna siku moja alihamaki kisa sikuwa na pesa ya kumnunulia viatu alivyokua anataka, tulivyorudi nyumbani nikamwambia anipe muda nipambane ili siku moja nkipata pesa nkamnunulie hivyo viatu.

Ila hakutaka kusikia chochote, akaanza kunitukana na kuniambia mimi ni boya na mzigo kwake, sina mchango wowote katika maisha yake zaidi ya kumpotezea muda tu. akaniambia rafiki zake wote wapenzi wao wanawanunulia vitu vizuri.

Aliponiambia hivyo niliumia sana moyoni, nikajikuta nimemwambia "basi na wewe nenda kwa hao rafiki zako wakutafutie mwanamme tajiri" .. baada ya kumwambia hivyo akanizaba kibao. akaniambia "usnitafute tena".

nililia sana siku hiyo hadi nikaishiwa na machozi, nikawa sina furaha tena, nilikua naona bora nife tu ili nipate kujipumzikia.

baada ya miezi 3, kidogo kidogo nikaanza kumsahau, nikaanza kutabasamu na kucheka tena. ilikua hadi nisha sahau namna ya kucheka, siku nacheka nilijihisi kama nipo ndotoni.

miaka 5 imepita, na leo ndio ameamua kunipigia simu na kuniomba msamaha na kuniambia anataka turejeane. nikamwambia nimekusamhe ila sitaweza kuwa nawe maana ninae mke ambae nampenda nae ananipenda, ameniambia hakutegemea kama nitamsamehe ila nimemwambia kuwa nilikuwa nimekusamehe tangia siku ulipo ondoka, akaanza kulia,,, akniambia hata pata mwanamme mwingine ataempenda sana kama mimi.
Mzee kiporo uliweka kwenye friji kirudi tena ila angalia tumbo lisije kukuuma
 
Huyu jamaa fix sana... bado tena anatunywesha chai ya mpenzi wake anakojoa kitandani...

Mpenzi wangu anajikojelea kitandani
Nafikiri wewe ni mzoefu sana hapa JF na ni moja ya watu walioona thread nyingi sana na mabadiliko ya aina mbalimbali kwa miaka yote uliyokuwepo kama ya kiuandishi,misemo,matusi na changamoto nyingine

Kwa uzoefu wako tayari najua unafahamu kuna watu wengine wanaleta mada ambazo either zimewakuta au wamezisikia hii yote ni kwa sababu tunatumia id fake

Kikubwa ni kuleta kisa ambacho watu wanaweza kuchangia full stop.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom