hello Friends,
Nina swali,
1. Ivi SRT4922 inasupport BISS or PowerVu?
2. Nimeambiwa unaweza pata Bein Sport channels pale kwenye satellite inakopatikana Azam tv channels,je ni kweli??ninalifuatilia then ntawajuza nikipata frqncy zake.
3 . Nina SRT4669x naweza kuinstall software ya BISS au PowerVu au nitaiua kabisa??
Waataalam naomba msaada ya majibu ya maswali yangu.
Asanteni.