Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,671
- 167,734
Naomba twende disco vumbi tukamalize tofauti zetu, mimi na wewe.....Jamani vibaya hivyo
Naomba twende disco vumbi tukamalize tofauti zetu, mimi na wewe.....Jamani vibaya hivyo
Naipenda JF, kuna mke na mume nawajua hapa, mke kaelezea alivompata mume tofauti na mume alivoelezea namna alivompata mke! Cha msingi ni wanandoa, nawatakia kila la kheri ktk ndoa yenu!
Naomba twende disco vumbi tukamalize tofauti zetu, mimi na wewe.....
Nilijaribu kuiset lakini haiwezekani kufanya hivyo, huwa narekebisha kila ninapoandika Mkuu.
Mbona unateseka sasa??
My wife wangu ni member humu .....kama hamaindi ani pm nisimulie yetu hapa ....mambo ya JF yaishie JF ...mwendo wa PM tu .....
LoL!! Kuna mateso kweli kwa kitu unachofanya in less than 5 seconds!? Whether by LT, PC or phone?
Tuition nazo ni ka kiwanda ka kupatia wake! Kuna rafiki angu aliopoa bonge la my wife wangu wa Kagera! Walianza kuazimana baiskeli tu!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Jamani akina mama/dada c mjitokeze na nyie mjioneshe umahili wenu ktk kukamata fursa?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Mkuu username yako ni series niliyoipenda sana hapo kipindi cha nyuma
kwa sababu nilikuwa kichwa darasan baba yake aliniomba niwe mwalimu wake {home teaching} tulikuwa tunakaa mtaa mmoja,hiyo tulikuwa primary school aisee huwez amin nilikuwa mwalimu wake hadi leo kwenye mengi mpaka leo ni mke wangu na nina mtoto nae mmoja na mbaya zaidi tulipiga picha za utoto nae nyingi mno enzi zile navaa kaptula
Yes best, hiyo series mie pia niliipenda sana! Ilipoisha nikaangalia The land of Wind ambayo ni muendelezo wake. Unawakumbuka akina Haemosu, Yuri, Taeso, Myool na kadada kazuri kalikompenda Jumong?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
mi nilikuwa tabora pale crdb kama bank officer na nilikuwa nakaimu nafasi ya mpb so hamna mtu atapata tembocard bila kupitia kwangu. Mwaka huo 2006 tunaenda saba akatokea mmasai binti mrembo balaa daah. Kaja kwangu kupiga picha ya tembocard nikapagawa. Wiki mbili baadae kadi zikaja take nikaificha so nikamwambia anipe namba ya cm i'll nikiipat basi nimpigie aje chukka. Haaa nikaanza msg za mapenzi kawa ananitukana balaa.
Basi nikaone yote heri. Nikampigia day moja, mama eehh kadi imekuja njoo uchukue. Ile kaja nikampa kadi yake lakini password paper nikampa ya mtu mwingine. Akashindwa kuaccess account through atm. Kaja alalamika huyo kidume namuwinda tuuu. Nikampiga picha ingine, mama eehh hoi kadi imekosewa namba ntakupigia kila baada ya muda kukupa update. Kaniona msamaria kumbe nawinda. Sasa si wawajua wasichana wa pale uhaziri tabora wale warembo hupenda kuheshimiwa na ukubwa ilhali account zao ziko hoi.
Basi kawa aona aibu kuja counter kuchukua pesa na kama akija antaka mie tu. Siku alobugi kaja kutoa elfu hamsini kaandika vocha mie kanipa nikaona muda huuhuu. Nikatoa wallet nkampa pesa hiyo mama nenda siku ingine utanilipa niko bize ati. Kaona kanpata kumbe hajui. Basi nikawa nunda mama eehh nope hela yangu nate huyu mwanafunzi hana basi ikawa tarehe baada ya tarehe.
Kaja kustuka msg za luvluv kibao azijibu mara kaamkia nyumbani kwangu shaharibu hivyo. Leo ndo mke wangu ana mtoto 6 yes na mwingine yuko tumboni aja ila roho yaniuma mie hajanilipa hata leo.