Ulimpataje mwenza/mchumba/mpenzi wako?

Ulimpataje mwenza/mchumba/mpenzi wako?

Mi nilikuwa Tabora pale CRDB kama bank officer na nilikuwa nakaimu nafasi ya MPB so hamna mtu atapata tembocard bila kupitia kwangu. Mwaka huo 2006 tunaenda saba akatokea mmasai binti mrembo balaa daah. Kaja kwangu kupiga picha ya tembocard nikapagawa. Wiki mbili baadae kadi zikaja take nikaificha so nikamwambia anipe namba ya cm I'll nikiipat basi nimpigie aje chukka. Haaa nikaanza msg za mapenzi kawa ananitukana balaa.

Basi nikaone yote heri. Nikampigia day moja, mama eehh kadi imekuja njoo uchukue. Ile kaja nikampa kadi yake lakini password paper nikampa ya mtu mwingine. Akashindwa kuaccess account through ATM. Kaja alalamika huyo kidume namuwinda tuuu. Nikampiga picha ingine, mama eehh hoi kadi imekosewa namba ntakupigia kila baada ya muda kukupa update. Kaniona msamaria kumbe nawinda. Sasa si wawajua wasichana wa pale uhaziri tabora wale warembo hupenda kuheshimiwa na ukubwa ilhali account zao ziko hoi.

Basi kawa aona aibu kuja counter kuchukua pesa na kama akija antaka mie tu. Siku alobugi kaja kutoa elfu hamsini kaandika vocha mie kanipa nikaona muda huuhuu. Nikatoa wallet nkampa pesa hiyo mama nenda siku ingine utanilipa Niko bize ati. Kaona kanpata kumbe hajui. Basi nikawa nunda mama eehh nope hela yangu Nate huyu mwanafunzi hana basi ikawa tarehe baada ya tarehe.

Kaja kustuka msg za luvluv kibao azijibu mara kaamkia nyumbani kwangu shaharibu hivyo. Leo ndo mke wangu Ana mtoto 6 yes na mwingine yuko tumboni aja ila roho yaniuma mie hajanilipa hata leo.

Kama bado upo tabora branch nije kukutembelea.... 😀..... Nice story kwakweli...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
sijakususa tatizo lako unakawia kuja asa ukichelewa tu natafuta mchepuko

nina shahada kutoka chuo kinachotambuliwa na serikali na uzoefu wa miaka nenda rudi... huna haja ya kumtafuta ushanipata
 
mm huwa napoint tu...iwe sokoni, dukani, ufukweni, kwenye daladala.. kwa kifupi haka kauzi kamenikumbusha orodha ya niliowapitia na hakuna hata mmoja niliyemuoa
 
mm huwa napoint tu...iwe sokoni, dukani, ufukweni, kwenye daladala.. kwa kifupi haka kauzi kamenikumbusha orodha ya niliowapitia na hakuna hata mmoja niliyemuoa

Sasa wewe unakoelekea, hebu tuelezee ka story hata kamoja aisee.
Jitahidi uoe ujenge heshima.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
It waz da first time 4me 2be in da bunge kutokana na wito wa serikali kwa baadhi ya wanafunzi kuwa wawakilishi wa wanafunz waliofanya vzuri mtihan wa kidato cha 6 (2012) nikiwa nafasi ya 3 chini ya combination yangu pcm kutoka minaki sec. Nilimpata kimada wangu ambae alikuwa mmoja kat ya waschana walionyakua taji la mwanafunz bora (tanzania one) akitokea marians girls nliweza kukaa nae na kula stori mbili ta2 na nkaishia kuambulia e-mail yake kutoka kwa mdadaz mwenzake. Alinsumbua sana kwenye harakat za approaching bcoz i knew nothng about it but i had faith in me dat someday she'll be mine. Kuna cku nlixafiri kutoka mby city (homeland) mpaka kwao arusha but she rejected me man,
Oooooh my ,,,shhhhh. Dat day I realised dat zaid unavo mzingua paka ndivo zaid anavo nyanyua mkia, kila alivozid nsumbua ndivo nlivo mpenda zaid. I tried hard 2think what 2do, and lastly i decided 2hack her information with white lie and little social engeneering experience through her e-mail. I impressed her and now she is ma queeen
 
Kwi kwi kwi kwi lol!!!! safari hii atakuchomolea toka kwenye "pochi" kilo 5, "niko busy ile mbaya mrembo sina nafasi ya kushughulikia voucher yako, chukua hizi kilo 5 nirudishie baada ya mwezi" ukija stuka amekuwowa lol!

Kama bado upo tabora branch nije kukutembelea.... 😀..... Nice story kwakweli...
 
Wakati nipo form 4 nilitokea kumpenda binti wa form 2 jangwani ambae tulikuwa tunasoma tuisheni moja alikuwa mrembo haswa na alikuwa anajisikia sana.basi kidume nikakomaa kumfuatilia lakini nilikuwa napewa majibu ya shombo kwamba Mimi sio level yake.sasa alikuwa na Rafiki yake aliyekuwa anasoma zanaki ikabidi nibadilishe mbinu nimuombe huyu wa zanaki anisaidie na yeye akakubali kuongea na wa jangwani.binti wa zanaki aliimbisha lakini wapi mwishoni nikakata tamaa na nikampotezea.basi yule wa zanaki akawa ananifariji sana na tukaendelea kuwa na mawasiliano.kuifanya story iwe fupi yule binti wa zanaki ndie mke wangu kwa sasa

tatizo mkuu ulikuwa misuli mingi kila muda upo kwa Mbuga hahaaaa...mchikichini!
 
Duh ...
Me namshukuru sana dada maana nilipomaliza form six Pugu sec nikakaa home kusubiri matokeo na Wakati huo girl wangu alikuwa form five na kwa Bahati mbaya nilimuacha maana nilimfumania na kidume wanachart na kufatilia Zaidi nikamkuta jamaa Wapo wote mida ya night wanakula maisha Ile kumuuliza akaniambia sorry for westing your time
,,bhasi kidume nikasema Okey .


..sasa kunasiku sister wangu akaniuliza mbona umakaa kama mzee hauna cha kufanya nini ..si ndio akaniambia kuna rafiki yangu ni mmeru+mchaga na ni mstaarabu sana ...bhasi akanipatia namba yaani Yule dada alinisumbua mno alafu she was so cute lakini alikuwa hajui kwamba ni mzuri..baada ya miaka 3 ndio kumpata sasa na mwaka wa 5 ndio kukubali kufanya......, nilidhani ananidanganya kumbe alikuwa really virginity women ...
Hapo hapo nikafanya process ndio my wife kwa sasa na tupo na mtoto mmoja .I love her alot.
 
Wangu ilikua hata kunisikiliza shida yangu hataki mpaka wakati mwingine hata salamu na mm hataki.

Sasa kwenye geto tulilokua tunaishi na mshkaji mi nilikua mpishi mzuri sana, sasa siku moja boss wake alkua na kasherehe kadogo hivi ka birthday ya mwanae akaniomba nikampikie maana tulkua tunaishi karibu.
Kidume nikaingia jikoni nikaanza kufanya makorombwezo yangu nikaongeza ujuzi ili nisije kuumbuka hasa kwa yule binti niliekua namtaka, mwishowe nikafanikiwa msosi ulikua mtamu hatari kila mtu aliusifia, sasa mtoto mkubwa wa boss wake alkua fom 6 akamwambia yule bint niliekua namtaka kua ametokea kunipenda ghafla kutokana na mapishi yangu.
Siku 3 baadae nikakutana na yule binti tukasalimiana vizuri hakuringa tena ila nikakumbushia nna kitu juu yake akaniambia sema nikamtemea sumu akachomoa huku akidai nikamtongoze bint wa boss wake ananitaka na alkua akimtaka yeye amlete nilipokua naishi mm nikamwambia nakutaka wewe km hutaki niambie akaniambia hayupo tayari kwa wkt ule, wiki moja baada baadae akanitumia bonge la barua akikubaliana na ombi langu na sasa hivi ndie wife wangu miaka 2 sasa tuna matwins.
 
Kwi kwi kwi kwi lol!!!! safari hii atakuchomolea toka kwenye "pochi" kilo 5, "niko busy ile mbaya mrembo sina nafasi ya kushughulikia voucher yako, chukua hizi kilo 5 nirudishie baada ya mwezi" ukija stuka amekuwowa lol!

Yaaani ameniwowa Mke wa pili na mimba juu hahaha...ila honestly stori imenigusa haswaa
 
tatizo mkuu ulikuwa misuli mingi kila muda upo kwa Mbuga hahaaaa...mchikichini!

Hivi huyu jamaa bado anapiga ile tuition maarufu? I once been there aisee!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Duh ...
Me namshukuru sana dada maana nilipomaliza form six Pugu sec nikakaa home kusubiri matokeo na Wakati huo girl wangu alikuwa form five na kwa Bahati mbaya nilimuacha maana nilimfumania na kidume wanachart na kufatilia Zaidi nikamkuta jamaa Wapo wote mida ya night wanakula maisha Ile kumuuliza akaniambia sorry for westing your time
,,bhasi kidume nikasema Okey .


..sasa kunasiku sister wangu akaniuliza mbona umakaa kama mzee hauna cha kufanya nini ..si ndio akaniambia kuna rafiki yangu ni mmeru+mchaga na ni mstaarabu sana ...bhasi akanipatia namba yaani Yule dada alinisumbua mno alafu she was so cute lakini alikuwa hajui kwamba ni mzuri..baada ya miaka 3 ndio kumpata sasa na mwaka wa 5 ndio kukubali kufanya......, nilidhani ananidanganya kumbe alikuwa really virginity women ...
Hapo hapo nikafanya process ndio my wife kwa sasa na tupo na mtoto mmoja .I love her alot.
Wadada nao huwa wanasaidia ki ukweli. Naomba nikosoe, sio virginity woman ni virgin woman! Hongera as mvumilivu hula mbivu.


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Hivi huyu jamaa bado anapiga ile tuition maarufu? I once been there aisee!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Huyo mpaka wajukuu zetu watamkuta panapo uhai....bado yupo
 
Wangu ilikua hata kunisikiliza shida yangu hataki mpaka wakati mwingine hata salamu na mm hataki.

Sasa kwenye geto tulilokua tunaishi na mshkaji mi nilikua mpishi mzuri sana, sasa siku moja boss wake alkua na kasherehe kadogo hivi ka birthday ya mwanae akaniomba nikampikie maana tulkua tunaishi karibu.
Kidume nikaingia jikoni nikaanza kufanya makorombwezo yangu nikaongeza ujuzi ili nisije kuumbuka hasa kwa yule binti niliekua namtaka, mwishowe nikafanikiwa msosi ulikua mtamu hatari kila mtu aliusifia, sasa mtoto mkubwa wa boss wake alkua fom 6 akamwambia yule bint niliekua namtaka kua ametokea kunipenda ghafla kutokana na mapishi yangu.
Siku 3 baadae nikakutana na yule binti tukasalimiana vizuri hakuringa tena ila nikakumbushia nna kitu juu yake akaniambia sema nikamtemea sumu akachomoa huku akidai nikamtongoze bint wa boss wake ananitaka na alkua akimtaka yeye amlete nilipokua naishi mm nikamwambia nakutaka wewe km hutaki niambie akaniambia hayupo tayari kwa wkt ule, wiki moja baada baadae akanitumia bonge la barua akikubaliana na ombi langu na sasa hivi ndie wife wangu miaka 2 sasa tuna matwins.

Ha ha haaaaa! Enzi za baruaa! Sumu mwalimu aikamate sasa, c utatangazwa mstarini mbele ya shule.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Huyo mpaka wajukuu zetu watamkuta panapo uhai....bado yupo

Asante kwa taarifa njema. Siku nikipita maeneo yale ntamnunulia zawadi ya karamu nyekundu ya kusahihishia!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Asante kwa taarifa njema. Siku nikipita maeneo yale ntamnunulia zawadi ya karamu nyekundu ya kusahihishia!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

na dictionary pia akajifunzie kiingereza
 
Back
Top Bottom