Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,231
- 49,961
Me nitacomment badae kuhusu hilo, ngoja ninywe mtori kwanza usije kupoa😅nasubiri na wewe jibu lako sijui utadanganya mtaani wakati tulikutana humu😁
Me nitacomment badae kuhusu hilo, ngoja ninywe mtori kwanza usije kupoa😅nasubiri na wewe jibu lako sijui utadanganya mtaani wakati tulikutana humu😁
Sijamuona muda au kachange id....😁
Yeye ni mpenzi mtazamajiSijamuona muda au kachange id....
Msalimie sana
😂😂😂😂Alikuja na Demu wangu wa zaman Getto kipindi nipo Chuo Movie ndipo lilipoanzia
Lahaullah, wew na chief mambo yamekuwaje au imepita kiroho safiMimi wangu nilimpata baada ya Chief mwenzangu kunihadithia kuwa kampata mdada mzuri na yuko radhi amuoe lakini kichotokea baada ya kunitambulisha kwake tu.,.. Dada wa watu akahamia kwangu
Utakuta ushampiga biti asichangie bwana shemela, wakati michango yake ndio imekudatisha....mwambie team Diamond tunamsalimia 😂yeye ni mpenzi mtazamaji
Hhaha yupo bize kulea wakina p...Utakuta ushampiga biti asichangie bwana shemela, wakati michango yake ndio imekudatisha....mwambie team diamond tunamsalimia
Hooo hallelujahXnvideo kaliweka namba kwenye video yake walai amekua mke mtulivu
Chief hajashtukia mpaka sasa but, keshafunga ndoa this year na Dada mwingine aliyesoma naye hukoLahaullah, wew na chief mambo yamekuwaje au imepita kiroho safi
Abeedepay
Nimezipokea 😁 🤣D nakusalimia😁
ClubWasalam,
Nadhani nainze kutirirka mimi mwenyewe
I jus miss u. hujamboAbee
Me nitacomment badae kuhusu hilo, ngoja ninywe mtori kwanza usije kupoa😅