Ulimi mzito jamani

Ulimi mzito jamani

shem si waona mtoto kachuua notsi kilichobaki ni praktiko...

najaribu kuimajini atakavyokopi na kupesti hahahha

hahahaah!!! ujue umenichekesha sana. mdogo wetu kashameza desa hilo. lol!
 
Wenzako wasiogopa wanakula kama wewe waogopa, na siku utakayomwambia ataruka huyo,
 
mlegezee macho na vishawishi vingine kama kutamka huwezi!!

lakini inategemea huwa mnakuwa wapi! mkiwa barabarani huwezi kumtamkia.
 
mlegezee maKazi kwena vishawishi vingine kama kutamka huwezi!!

lakini inategemea huwa mnakuwa wapi! mkiwa barabarani huwezi kumtamkia.

Mwanamme kulegeza macho kwa mwanamke wako? Kazi Kweli Kweli Aaaaa Aaaaahhhhaaaaaaa! Asante.
 
Tumia body language mpaka hapo hapo ulimi wako utakapolainika na kuweza kuomba papuchi kwa maneno.

Wana jamii nimekuwa na binti mmoja kwenye mahusiano takribani miezi tano ila nimeshindwa jinsi ya kuomba ile 'kitu'a.k.a papuchii kwani mtu huwaza namna gani kuomba ama hizo story..kwani kila nikitaka kuliongea hilo swala ulimu unakuwa mzito na baki kutamani tu.Naomba wale wenye uzoefu mnipe swagga.
 
Jaman , pengine Mtoa mada under 18, Hana skills hata moja......
Ndio kwaaaaanza anataka kuanza kugegeda,


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mwambie nataka nikutooo.......halafu unaanza kukimbia unaenda kumalizia mbali neno la mwisho,

Kesho akikuuliza ulimaliziaje?Unamwambia:-[mbe] basi hapo akiunganisha tu hayo maneno utakuja unipe majibu kesho kutwa
 
Wana jamii nimekuwa na binti mmoja kwenye mahusiano takribani miezi tano ila nimeshindwa jinsi ya kuomba ile 'kitu'a.k.a papuchii kwani mtu huwaza namna gani kuomba ama hizo story..kwani kila nikitaka kuliongea hilo swala ulimu unakuwa mzito na baki kutamani tu.Naomba wale wenye uzoefu mnipe swagga.

Tunga stori yoyote ya mapenzi kama ya kufumainiana hivi,muulize yeye atafanyaje. Nina imani hutashindwa kuunganishia hapo.
 
Anza kumshika shingo huku unamnyonya ulimi.. shusha mikono yako maeneo ya kifua taratibu huku ukiendelea kushuka mpaka ukute utamu chukua ondoka nao... mali yako domo zege wewe

Ushauri mzuri alafu umeponda ile mbaya
 
Mwambie nataka nikutooo.......halafu unaanza kukimbia unaenda kumalizia mbali neno la mwisho,

Kesho akikuuliza ulimaliziaje?Unamwambia:-[mbe] basi hapo akiunganisha tu hayo maneno utakuja unipe majibu kesho kutwa

umetisha mkuu! full maujanja
 
Hivi papuchi nayo wanaomba kweli?

Kusema kweli mimi najikutaga tu kwenye mahabati ila sikumbuki kama nilishawahi kutamka sentensi " Naomba P"
 
Back
Top Bottom