Ulimbukeni wa Mitandao: Mama Amina na Tafakuri ya Kijamii

Ulimbukeni wa Mitandao: Mama Amina na Tafakuri ya Kijamii

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
6,132
Reaction score
10,514
Mitandao ya kijamii imekuwa chombo kikuu cha mawasiliano, burudani na hata ajira duniani kote. Hata hivyo, kwa Afrika hususani Tanzania, mitandao hiyo mara nyingi inageuzwa uwanja wa vituko badala ya majukwaa ya kujifunza na kujenga jamii.
images (71).jpeg

Katika siku za hivi karibuni kuna binti anayejulikana kama Mama Amina kwenye mtandao wa TikTok, ambaye amekuwa gumzo kutokana na video zake zinazoibua mjadala mzito.

Mama Amina, ambaye anaonekana kuwa na changamoto za mawasiliano, amejitokeza akiimba nyimbo za singeli. Lakini tofauti na matarajio ya wengi, badala ya kuonyesha kipaji cha muziki, amekuwa akitumia lugha chafu, matusi makubwa na ishara za fedheha mbele ya hadhira yake ya maelfu ya wafuasi.
images (72).jpeg

Katika ukurasa wake wenye zaidi ya followers 88,000, video zake zimekuwa zikishangiliwa, kusambazwa na hata kusababisha baadhi ya wasanii maarufu kuonyesha nia ya kushirikiana naye.

EBU TUJIULIZE KAMA WATANZANIA

je, hii ni burudani au ni taswira ya kusherehesha ujinga? Wakati mamlaka husika zikiendelea kukaa kimya kana kwamba hakuna tatizo, jamii nzima inashuhudia kizazi kinacholelewa kuamini kuwa matusi na fedheha ndizo ngazi za umaarufu.
images (75).jpeg

Ni hatari kuona kwamba badala ya kulinda utu na maadili, mitandao inatumika kuhalalisha tabia zinazoshusha heshima ya jamii. Sasa hivi anakwenda kufanya show kwenye kampeni za Chama cha CCM, akiimba hayo hayo matusi na watu hawana hata tatizo.
images (71).jpeg

Hili sio suala la Mama Amina pekee, bali ni ishara ya kile kinachotokea mitandaoni kila siku. Watu wanatafuta njia ya kupata views na likes, hata kama ni kwa gharama ya hadhi na maadili. Inasikitisha zaidi pale tasnia ya muziki inaposhirikiana na matukio haya badala ya kuyakemea.

MTU MWENYE UGONJWA WA AKILI ANAFURAHISHA SANA KAMA HAJATOKA KWENYE FAMILIA YAKO.
 
Madogo wenzake walikua wanamtumia kwa ajili ya content 😂kama utani akajikuta amefahamika zaidi , lakini pia naona ni jambo jema kuonesha Inclusive hasa kwa watu wenye ulemavu wa akili sijajua ni kwa kiwango gani cha ulemavu wa akili alionao huyo mama amina but itakua tu labda "MILD"
Lakini inamsaidia kuona kwamba jamii inajali kuhusu yeye na ndo lengo la ujumuishi. Endapo jamii ya kibongo wote tukiwa hivi tutakua na watu bora sana hasa kwa watu wenye AUTISM wanapata tabu sana asee

Sababu ya kutukana ni hakua shaped tangu utotoni , kwa experience yangu kwenye hii intellectual impairment huwa tunatamani sana early intervention ni muhimu kwa mtoto so nadhani kulingana na mazingira ya kiswahili huko Jijini kwenu ndo kinachosababisha ! Na kumshape kwa sasa ni kazi inayotaka uvumilivu.

Vinginevyo ni sawa tu ngoja achangamke bhana mradi asitumike vibaua, utasikia we "Ghuma nini" 😂 sio shida zake na kichogo chake kama pembe za faru.
 
Mitandao ya kijamii imekuwa chombo kikuu cha mawasiliano, burudani na hata ajira duniani kote. Hata hivyo, kwa Afrika hususani Tanzania, mitandao hiyo mara nyingi inageuzwa uwanja wa vituko badala ya majukwaa ya kujifunza na kujenga jamii.
View attachment 3471547
Katika siku za hivi karibuni kuna binti anayejulikana kama Mama Amina kwenye mtandao wa TikTok, ambaye amekuwa gumzo kutokana na video zake zinazoibua mjadala mzito.

Mama Amina, ambaye anaonekana kuwa na changamoto za mawasiliano, amejitokeza akiimba nyimbo za singeli. Lakini tofauti na matarajio ya wengi, badala ya kuonyesha kipaji cha muziki, amekuwa akitumia lugha chafu, matusi makubwa na ishara za fedheha mbele ya hadhira yake ya maelfu ya wafuasi.
View attachment 3471548
Katika ukurasa wake wenye zaidi ya followers 88,000, video zake zimekuwa zikishangiliwa, kusambazwa na hata kusababisha baadhi ya wasanii maarufu kuonyesha nia ya kushirikiana naye.

EBU TUJIULIZE KAMA WATANZANIA

je, hii ni burudani au ni taswira ya kusherehesha ujinga? Wakati mamlaka husika zikiendelea kukaa kimya kana kwamba hakuna tatizo, jamii nzima inashuhudia kizazi kinacholelewa kuamini kuwa matusi na fedheha ndizo ngazi za umaarufu.
View attachment 3471549
Ni hatari kuona kwamba badala ya kulinda utu na maadili, mitandao inatumika kuhalalisha tabia zinazoshusha heshima ya jamii. Sasa hivi anakwenda kufanya show kwenye kampeni za Chama cha CCM, akiimba hayo hayo matusi na watu hawana hata tatizo.
View attachment 3471547
Hili sio suala la Mama Amina pekee, bali ni ishara ya kile kinachotokea mitandaoni kila siku. Watu wanatafuta njia ya kupata views na likes, hata kama ni kwa gharama ya hadhi na maadili. Inasikitisha zaidi pale tasnia ya muziki inaposhirikiana na matukio haya badala ya kuyakemea.

MTU MWENYE UGONJWA WA AKILI ANAFURAHISHA SANA KAMA HAJATOKA KWENYE FAMILIA YAKO.
Huyu dogo anauzaga papa kitambaa cheupe tabata. Hahaha siku izi kumbe ni msanii
 
Madogo wenzake walikua wanamtumia kwa ajili ya content 😂kama utani akajikuta amefahamika zaidi , lakini pia naona ni jambo jema kuonesha Inclusive hasa kwa watu wenye ulemavu wa akili sijajua ni kwa kiwango gani cha ulemavu wa akili alionao huyo mama amina but itakua tu labda "MILD"
Lakini inamsaidia kuona kwamba jamii inajali kuhusu yeye na ndo lengo la ujumuishi. Endapo jamii ya kibongo wote tukiwa hivi tutakua na watu bora sana hasa kwa watu wenye AUTISM wanapata tabu sana asee

Sababu ya kutukana ni hakua shaped tangu utotoni , kwa experience yangu kwenye hii intellectual impairment huwa tunatamani sana early intervention ni muhimu kwa mtoto so nadhani kulingana na mazingira ya kiswahili huko Jijini kwenu ndo kinachosababisha ! Na kumshape kwa sasa ni kazi inayotaka uvumilivu.

Vinginevyo ni sawa tu ngoja achangamke bhana mradi asitumike vibaua, utasikia we "Ghuma nini" 😂 sio shida zake na kichogo chake kama pembe za faru.
Huyu binti alikuwa anatoroka kwao anaenda kushinda na masela wa kivukoni na feri upande wa kigamboni. Nishamwona sana kwenye pantoni. Masela walikuwa wanajisevia tuu.

Na hata hiyo kuitwa mama amina alishapataga mimba mara mbili na kujifungua ila watoto walikuwa wanakufa nadhani kulingana na malezi duni.
 
Huyu binti alikuwa anatoroka kwao anaenda kushinda na masela wa kivukoni na feri upande wa kigamboni. Nishamwona sana kwenye pantoni. Masela walikuwa wanajisevia tuu.

Na hata hiyo kuitwa mama amina alishapataga mimba mara mbili na kujifungua ila watoto walikuwa wanakufa nadhani kulingana na malezi duni.
Daah watu wakatumia huo mwanya ! Ila wanaume tutachomwa kwa moto wa gesi 😂😂
 
Madogo wenzake walikua wanamtumia kwa ajili ya content 😂kama utani akajikuta amefahamika zaidi , lakini pia naona ni jambo jema kuonesha Inclusive hasa kwa watu wenye ulemavu wa akili sijajua ni kwa kiwango gani cha ulemavu wa akili alionao huyo mama amina but itakua tu labda "MILD"
Lakini inamsaidia kuona kwamba jamii inajali kuhusu yeye na ndo lengo la ujumuishi. Endapo jamii ya kibongo wote tukiwa hivi tutakua na watu bora sana hasa kwa watu wenye AUTISM wanapata tabu sana asee

Sababu ya kutukana ni hakua shaped tangu utotoni , kwa experience yangu kwenye hii intellectual impairment huwa tunatamani sana early intervention ni muhimu kwa mtoto so nadhani kulingana na mazingira ya kiswahili huko Jijini kwenu ndo kinachosababisha ! Na kumshape kwa sasa ni kazi inayotaka uvumilivu.

Vinginevyo ni sawa tu ngoja achangamke bhana mradi asitumike vibaua, utasikia we "Ghuma nini" 😂 sio shida zake na kichogo chake kama pembe za faru.
Uma wee
 
Back
Top Bottom