Ulilipokea vipi shambulio la JF?

Ulilipokea vipi shambulio la JF?

Ahsante mkuu... na imani soon na wewe utapata hitaji lako la moyo....

So mimi na mcute wangu Rebeca 83 tunakuombea upate unae endana nae.....
Humu siwezi kupata. Mapenzi ya humu shuruti ujue kizungu. Nami niliishia LA saba, kizungu sijui. Wacha nipambane na walima viazi wenzangu tu maana hakuna namna
 
Humu siwezi kupata. Mapenzi ya humu shuruti ujue kizungu. Nami niliishia LA saba, kizungu sijui. Wacha nipambane na walima viazi wenzangu tu maana hakuna namna
tena hao wanakuwaga wazuri kweli.... yaani unaletewa na gunia la viazi Mungu akupe nini tena
 
Back
Top Bottom