Ulikuwa wapi Siku hiyo??

Sikumbuki! Ngoja nisome ya wengine.

sobhuza upo na wifi huku masikio kwenye tv na redio. Mh!
 
Last edited by a moderator:
Karibu tena Kibong'oto. . .
Siku ukija usiache kunitembea maana hua nafanya fanya usafi kule juu.

Asante sana Lizzy, nitakutembelea uandae na mahindi ya kuchoma nadhani huko yale ya tindigani sasa yanaliwa
 
Hapo chachaaa.....mi sioni tatizo wifi yangu Lizzy hebu wakuache, kila mtu anaandika anachojisikia! Kwanza sikuona tatizo kwa swali lako.

Tatizo post yenyewe mmavi mmavi, ingekuwa ya kawaida kusingekuwa na tatizo.
 
Last edited by a moderator:
Sikumbuki! Ngoja nisome ya wengine.

sobhuza upo na wifi huku masikio kwenye tv na redio. Mh!

Si unajua kipindi hicho ghetto la kugongea kwa masela, na masela wenyewe wamekaa kwenye benchi kwa nje, kwa hiyo kuuwa soo inabidi uwashe redio.
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa klass basi ikapigwa kengele tukakusanyika kisha tukatangaziwa msiba, ila tulipoambiwa kuwa shule itafungwa kwa wiki mbili kwa ajili ya kuomboleza nilifurahi sana.. but now i'm sad:(

TANMO, Kama tulisoma pamoja.me nae ilikuwa hvo hvo
 
Tujikumbushe Kidogo wadau wa JF, siku ile ya Alhamisi ya tarehe 14/10/1999 mida ya asubuhi kama sikosei ulikuwa wapi na unafanya wakati Kifo cha baba wa Taifa kinatangazwa!

Dah! MUSSOLIN umenikumbusha long sana dah! Aisee..!!!
Nakumbuka kpnd habari hii inatangazwa nilikuwa Home najiandaa kwenda shule Forodhani,
ila Mwl Mkuu enzi hizo Fadhili Saiwadi akatawanyisha wanafunzi warudi majumbani,
ndo ikawa pona pona yangu kwenda shule.
Dah..!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom