Ndoto yangu ilikuwa nije kuwa masihi wa Bwana, Sasa nimekuwa Mtume na Nabii. Karibuni muone ishara na miujiza!!😋😅😜😜
Ndege ni ndegeKua rubani wa ndege ila nimeishia tu kuwarusha njiwa/ndege wangu kutoka katika banda lao kila asubuhi so sio mbaya.
Nimefanikisha mbili muhimu sana
Kufanya kazi chumba cha wafu
Kujifunza na hatimaye kufuzu ushirikina kwa viwango vya juu mno