Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Najua hii kitu sio sahihi kabisa lakini haimaanishi kuwa huwezi kupata zuri kwenye hiyo kitu
Ni muda mrefu sana jambo hili limeshajadiliwa sana kama linawezekana kuzuilika
Wapo waliosema linazuilika na wengine wamesema halizuiliki [ Asprin and co]
Hapa sitazungumzia hayo ila hapa nitazungumza yale tuliyojifunza kupitia hilo jambo
Suala lenyewe ninalolizungumzia hapa ni cheating[kugegeda nje ya ndoa]
Inajulikana kuwa kuna watu wanalifanya jambo hili kwa kificho na kuna wengine wanalifanya kwa uwazi,hii nayo sio hoja
Hebu tufunguke hapa,siku ya kwanza kuivunja hiyo amri ya sita ulijifunza nini?
Au ulipata hasara gani?
AU ulipata faida gani?
Naomba niweke wazi kuwa ku-cheat ninakokuzungumzia hapa hakukomei kwenye ndoa tu bali hata kwenye mahusiano yale ambayo wahusika wake hawajakwenda kwenye nyumba za ibada lakini ni mahusiano yenye usirious wa kutosha
Kuna watu walikuwa ni waaminifu sana kwenye ndoa zao au mahusiano yao na changamoto zilipoanza walikuwa na wakati mgumu sana na siku walipoamua kuwa na mpango wa kando tu waliweza kugundua kuwa kumbe hata nje ya mahusiano/ndoa kuna mapenzi kuzidi yale waliyoyazoea
Kuna wengine baada tu ya kuwa na mpango wa kando wameweza kugundua kuwa hakuna kama mwenza wao,yaani wamejiaibisha na kitendo hicho kimewafanya wawe waaminifu zaidi ya mwanzo
Kuna wengine baada ya kupata mpango wa kando wamejikuta huo mpango wa kando ndio the right person kwao badala ya wenza wa mahusiano/ndoa yao
Mifano ni mengi sana lakini zaidi sana kuna jamaa yangu mmoja alipata kujifunza kwa maumivu sana baada ya mkewe kufariki kwa uzembe wake mwenyewe kwa kuwa alikuwa anauthamini sana mpango wa kando na kuzenbea kumpatia matibabu ya kutosha mkewe kitendo kilichomsababishia kifo chake
Baada ya tukio hilo la kuumiza sana jamaa alijifunza na alipokuja kuoa tena alikuwa mwangalifu sana na mkewe na alikuwa na uaminifu wa hali ya juu kutokana na kujifunza na kadhia ya mwanzo
Kuna kujifunza kwingi sana kupitia hii kitu,ningependa leo tujaribu kushea pamoja ili tujifunze kupitia wengine
Au ni ngumu kufunguka?
Hebu tujaribuni.......!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ni muda mrefu sana jambo hili limeshajadiliwa sana kama linawezekana kuzuilika
Wapo waliosema linazuilika na wengine wamesema halizuiliki [ Asprin and co]
Hapa sitazungumzia hayo ila hapa nitazungumza yale tuliyojifunza kupitia hilo jambo
Suala lenyewe ninalolizungumzia hapa ni cheating[kugegeda nje ya ndoa]
Inajulikana kuwa kuna watu wanalifanya jambo hili kwa kificho na kuna wengine wanalifanya kwa uwazi,hii nayo sio hoja
Hebu tufunguke hapa,siku ya kwanza kuivunja hiyo amri ya sita ulijifunza nini?
Au ulipata hasara gani?
AU ulipata faida gani?
Naomba niweke wazi kuwa ku-cheat ninakokuzungumzia hapa hakukomei kwenye ndoa tu bali hata kwenye mahusiano yale ambayo wahusika wake hawajakwenda kwenye nyumba za ibada lakini ni mahusiano yenye usirious wa kutosha
Kuna watu walikuwa ni waaminifu sana kwenye ndoa zao au mahusiano yao na changamoto zilipoanza walikuwa na wakati mgumu sana na siku walipoamua kuwa na mpango wa kando tu waliweza kugundua kuwa kumbe hata nje ya mahusiano/ndoa kuna mapenzi kuzidi yale waliyoyazoea
Kuna wengine baada tu ya kuwa na mpango wa kando wameweza kugundua kuwa hakuna kama mwenza wao,yaani wamejiaibisha na kitendo hicho kimewafanya wawe waaminifu zaidi ya mwanzo
Kuna wengine baada ya kupata mpango wa kando wamejikuta huo mpango wa kando ndio the right person kwao badala ya wenza wa mahusiano/ndoa yao
Mifano ni mengi sana lakini zaidi sana kuna jamaa yangu mmoja alipata kujifunza kwa maumivu sana baada ya mkewe kufariki kwa uzembe wake mwenyewe kwa kuwa alikuwa anauthamini sana mpango wa kando na kuzenbea kumpatia matibabu ya kutosha mkewe kitendo kilichomsababishia kifo chake
Baada ya tukio hilo la kuumiza sana jamaa alijifunza na alipokuja kuoa tena alikuwa mwangalifu sana na mkewe na alikuwa na uaminifu wa hali ya juu kutokana na kujifunza na kadhia ya mwanzo
Kuna kujifunza kwingi sana kupitia hii kitu,ningependa leo tujaribu kushea pamoja ili tujifunze kupitia wengine
Au ni ngumu kufunguka?
Hebu tujaribuni.......!!!!!!!!!!!!!!!!!
Last edited by a moderator: