Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,591
- 4,326
Embu kuwa uchi acha kujijaladia
una kazi gan?
kiwango cha elimu
upo mkoa gani
NA MENGINE KAMA HAYO
una kazi gan?
kiwango cha elimu
upo mkoa gani
NA MENGINE KAMA HAYO
Acheni kukejeli viumbe ambao Mungu aliyewaumba anajivunia uumbaji wake, imagine mwenye hiyo picha hajui kuwa unatumia picha yake kuwaenjoy watu. Hopeless kabisa.Mi nna miaka 41, na ni dereva wa mabasi ya mwendo kasi. Kama vipi niPM tujajenge mama,
Naambatanisha picha yangu
View attachment 518132
Wewe ndio hopeless uliyetukuka. Nithibitishie kama hiyo si picha yangu.Acheni kukejeli viumbe ambao Mungu aliyewaumba anajivunia uumbaji wake, imagine mwenye hiyo picha hajui kuwa unatumia picha yake kuwaenjoy watu. Hopeless kabisa.
Hivi mwanaume mwenye miaka 30 hajaoa yupo kweli dah nimekosa bahati mimi 29 na nusuHabari za jioni wandugu
Kama lengo kuu la huu uzi linavyojieleza ndicho moyo wangu unachokihitaji kwa dhati na I believe kupitia hapa naweza fanikisha
Mimi ni mwanamke nipo kwenye late 20s, mkristo na sio tegemezi
Dhumuni langu ni kumpata mwenzangu tutakaeanza maisha ya kuwa mke na mume
Sifa zake:Awe mkristo, umri awe kwenye 30s na mwenye shughuli iliyo halali
Karibu!!!
Mwingine anaogopa matani kwa wanaomjua.Mfano.Miss Natafuta au BAK kwa kutumia Id zako hizo hizo Watu wanaweza Ina wanataniaaa.So kuwa positive.usiogope.Umempenda mfuate acha kujudge idWanawake weng wanaotafuta waume JF ni wageni mfano uyu account kafungua leo sijui uwa wanamaanisha au uwa wanazingua
Watu kama nyie siwapendiiiii.. Sasa umeingia jukwaa hilo kufanya nini.Jili jukwaa linaruhusu kusaka kutafuta wachumba. unaleta masharti Na ushauri wako wa kijinga.Ushauri.Funguaa jukwaa la urembo ujifunze kutinda Watu nyusi.Huko mtaani kwenu hakuna wanaume
Ni pendekezo la MTU.Wewe inakusumbua nini.Kuna tofauti kubwa.Mwanamke akijitokeza hivyo..looks so serious!!Humu kuna nyuzi za wanaume pia huwa wanatafuta wake hivi huwa hamzioni au imekuwa fasheni kila mtu anaandika tu kuwa anatafuta mwenza.
Basi hapa mchana kuna mwanamume pia atajitokeza na uzi wake naye anatafuta mke sijui huwa hawasomagi nyuzi za wahitaji wenzao?
Wewe ndio hopeless uliyetukuka. Nithibitishie kama hiyo si picha yangu.
Kiherehere cha nini?
Ni mtazamo wangu tu sijui na wewe unakusumbua nini?Ni pendekezo la MTU.Wewe inakusumbua nini.Kuna tofauti kubwa.Mwanamke akijitokeza hivyo..looks so serious!!
Mbona hujib Pm?Habari za jioni wandugu
Kama lengo kuu la huu uzi linavyojieleza ndicho moyo wangu unachokihitaji kwa dhati na I believe kupitia hapa naweza fanikisha
Mimi ni mwanamke nipo kwenye late 20s, mkristo na sio tegemezi
Dhumuni langu ni kumpata mwenzangu tutakaeanza maisha ya kuwa mke na mume
Sifa zake:Awe mkristo, umri awe kwenye 30s na mwenye shughuli iliyo halali
Karibu!!!