Ulichosomea kimekutoa kimaisha?

Ulichosomea kimekutoa kimaisha?

Nilichosomea naweza sema kimenitoa kwakua kimenipatia mtaji wa kusamimisha some business..so at least tunapunguza ukali wa maisha
 
Miaka kama miwili tuu
Miaka miwili si bado tunatembeza bahasha.
Hata ukipata kazi ndani ya mwaka mmoja baada ya chuo. Miaka miwili huwezi kusema elimu yako imekutoa. Kwasababu sehemu nyingi utaajiriwa kama trainee au graduate. Mshahara laki 9, laki 8 au laki 7 unaoweza kuondoka nao kwenu. Miaka miwili hii hela hata usipokula ukaieka yote akiba bado haijafika hata milioni 30. Hapo ndio utasema umetoka? Mana hata gari ya kununua kwa pesa yako hujaweza kununua bila msaada wa mkopo. Unachoweza ni kula, kuvaa, kuchangia michango ya hapa na pale.
 
Miaka miwili si bado tunatembeza bahasha.
Hata ukipata kazi ndani ya mwaka mmoja baada ya chuo. Miaka miwili huwezi kusema elimu yako imekutoa. Kwasababu sehemu nyingi utaajiriwa kama trainee au graduate. Mshahara laki 9, laki 8 au laki 7 unaoweza kuondoka nao kwenu. Miaka miwili hii hela hata usipokula ukaieka yote akiba bado haijafika hata milioni 30. Hapo ndio utasema umetoka? Mana hata gari ya kununua kwa pesa yako hujaweza kununua bila msaada wa mkopo. Unachoweza ni kula, kuvaa, kuchangia michango ya hapa na pale.
Basi kama ndiyo hivyo ujue bado haijakutoa
 
Kama ni hivyo tu, sio lazima kusomea fani uvifanye vyote.
Taja ulichosomea na kama kimekusaidia kupata vyote hivyo tofauti na hapo naona unazunguka nje ya mada tuu sijui unataka kutuaminisha nini.
 
Mkemia hapa.

Pamoja na gentlemen yangu ya chemistry, mimi ni miongoni mwa watanzania wa daraja la kati kiuchumi.

Asante chemistry, asante sana.
 
Mbona sioni wa Masters na PHD???😅😅😆😆
Note:Swali langu lina nia ya kufahamu upepo postgraduates.
 
Me niliacha shule form 3 nikaingia road kutafuta noti
Na sasa nimeajiri wasomi 3
Lengo la uzi ni kuwapa moyo vijana wanaoendelea na masomo yao na wanaokaribia kuanza masomo yao.
Maana kumekuwa na maswali mengi kuhusu uzuri wa degree program nzuri.
Ni vyema ukataja ulichosomea na umefanikiwaje katika ulichosomea.
Binafsi bsc in biology nipo hapa ajira kizungumkuti tunapambana na hali zetu sifikirii kama ntakuja kukitumia cheti maana naona chenga tu.
Karibu
 
Basi kama ndiyo hivyo ujue bado haijakutoa
Kwa maana hiyo sidhani kama kuna mtu elimu yake imemtoa. Kama interval ya kutoka ndio hio miaka miwili. Labda apate dili zingine huko
 
Back
Top Bottom