Ulianzaje kukaa gheto?

Acha alafu wanachagua kazi ni balaaa wanazan kodi unaokota yan wanavurugu kwanza wanakunyima Uhuru mm kwa kweli kukaa getho na maslay inahitaj uvumilivu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] demiss demiss
 
Utazoea tu ila utakula viporo mpaka basi jitahidi kubalance wakat wa kupika
ila kufua na kupika, [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], yaan hasa hasa kupika, sijui na ua sjui chakula ambacho hakijaiva
 
Kuna hao wawili walimaliza mwaka kukaa kwangu nilkuwa sitaman hata kurudi home maana ni kichefuchefu hawajui hata kufanya usafi wanakojoa kwenye ndoa ya kuogea wanapasha maji ya kuoga kwenye gas jaman miezi mi4 mtungi umeisha na mm nikaacha kujaza Tukawa hatuna hata kitu ndan na mm nakula juu kwa juu narud usiku mnene
Hahahahahahahah siwataki hata nusu saaa.....
 
Kama huna akili huna tu haijalishi upo geto au mbinguni kwa baba.

Ukiwa uko home kutoboa ni rahisi zaidi kuliko ukiwa ghetto maana expenses za lazima hazitakusumbua kama unaakili inayochapa kazi sawa sawa mpaka unatoka home na nyumba ulishajenga ya kwako.
 
Kukojoa kwenye ndoo,😂😂 uvivu kutoka kwenda chooni au wanaogopa unakuta ni usiku mnene?
 
Whaaaaat!??? Kukojoa kwenye ndoo???

Jamani mimi Nilivyo na mdomo wangehama mapema mnoooo maana kukaa na donge moyoni siwezi, kukojoa kwenye ndoo?

Chooni mbali mpaka upande daladala? Woooiiiii mama unastahiki tuzo ya uvumilivu. Sitaki mashost mimi hata kidogo na wananijua.

Hata nikiwepo chuoni hawaji ninapokaa wanafunzi wenzangu sitaki kero ndani kwangu
 
Nashukuru Serikali Ya Maguu walinihamisha mjini kunipeleka Hombolo wanashindwa kuja etii ooh siyo mjini .

Nilipofika huku nikajitwalia zangu nikapanga nyumba nzimaa wanaoweza kuja hawakai sana maana huku hakuna starehe kama town ana kaa siku mbili anaondoka .
 
Hahahahahaha Kuna mmoja alikuja kwangu kwa mara ya kwanza kabisa wakati yupo njiani akaagiza nimpikie ndizi nyama, nikawazaa jinsi gani alivyo mweupe kichwani nikaona isiwe kesi nikampikia kafika kala.

Akaanza ooh leo napiga simu home kwamba nalala hapa kwako, kumbe alikuwa anataka kwenda kwa bwanake, nikamwambia hilo haliwezekani, usingizie upo kwangu kumbe upo unakojua mwenyewe big no, nenda kwenu ukaipange safari yako kwa mtindo mwingine


Ananionaga nuksi
Hawawez wakiona una ghetto kila siku unakuwa na wageni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…