Kuna kiasi cha pesa nasubiri kitimie, najua kitatimia kabla ya mwezi wa 10 ambao ndio mwezi naotaka kuingia ghetto.
Sasa hv nimefikisha 75% ya pesa nayoitaka kuanzia nayo maisha ya ghetto.
Sijaajiriwa Ila kuna mahali najitolea hvy kuna vipesa najipatia.