Ulianzaje kukaa gheto?

Nimetokwa na machozi.... Pole na hongera kwa kuwa na moyo wa uvumilivu..... Mungu akubariki zaidi
 
Hahahaha Ghetho la wadada ukikaribisha marafiki ni kero Nashukuru nimepanga nyumba nzimaa wakija nawatupa chumba cha wageni
Na mnavojua kujazana sasa[emoji1787][emoji1787]
 
Nilikuwa naenda kazin narud nakuta wamelala wanachat na madanga hata hawapiki duuuh na mm kuwakomesha nakula juu kwa juu nawaambia kabichi hilo hapo mwenye njaa apike aisee wakichek mboga kabichi wanainuka kwenda kununua chips na mm naingia room najifungia usingizi mpaka kesho yake nasepa zangu job
Na mnavojua kujazana sasa[emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Daah mwanmke baharia ww [emoji1373][emoji1373][emoji1373][emoji1787]
 
Safi sana. Nimependa huu ujasiri.
 
Mm nilipanga getho mapema sana kwa sababu wazazi wangu ni watu wa kusafir sana nikaona Hizi kero za kubak home Mara wajomba ma mabinamu wamejazana alafu vurug kwenye kazi wacha nikajipangie zangu sasa marafiki wa kike wengi wanazeekea makwao wakiona hivyo wanakuja kujazana ghetto ili wapate Uhuru wa kudanga vizur
Daah mwanmke baharia ww [emoji1373][emoji1373][emoji1373][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha ni changamoto watatumia vibaya maji umeme vyakula kwenye fridge ukiondoka ukirud ghetto kama jalala aisee na kuwafukuza huwez inabidi uwapige matukio ya juu kwa juu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakuu mungu ni mkubwa, mimi ni kijana nina miaka 22, saivi nmepata kazi ambayo kidogo itakua inanilipa vizuri tena ya serikali.

ila bado nko chuo ndo naingia mwaka wa 2 saivi, na nyumbani ni mkoani mbali kabisa, na hali ya nyumbani so nzuri kiafya apa naishi kwa ndugu yangu.

sasa apa mawazo ya kupanga ndo yamekuja maan nilkua naogopa kozi kuingi mtaani ivi ivi unaweza kurudisha mpira kwa golikipa.

saivi nawaza kupanga, mwaka huu haupitui wakuu na mimi ntakua na geto langu, yaani nina miaka 22 ila naagizwa vitunguu swaumu aibu sana, tuombeane wakuu
 
Kwanza una moyo!?? Kukaa room moja zaidi ya watu wawili? Hahahahahaah tena maslay kwini hawapendi kupika!!! Hongera bora ulivyoachana nao.

Mimi siwezi, napenda utulivu Muda wote, sipendi mtu ambae hapendi kupika au kufanya usafi. Siku zote nakaa mwenyewe tu
 
Hahahahahahaha wakae kwako wadange?? Tobaaaaa
 
Ni kweli wengi uwa ni wazinguaji na wanapenda kula vinono ila kupika hawataki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…