Ulianzaje kukaa gheto?

Alaf kweli kuna wanawake hawapendi kabisa habari za Lodge
Kipindi nasoma A level nilikua na pisi yangu ya kishua hataki kabisa mambo ya lodge yeye labda hotel

Nadhani alikua ana mentality kwamba Lodge ni kama hizi guest bubu za uchochoroni wakati kuna Lodge kali kinyama tena ghorofani[emoji28]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Kama kuna eneo kubwa funga kamba zingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weekend ndo siku nafidia usingizi wangu kwahyo naamka saa3 sasa apo nakuta kamba washajaza au wamekaa na mabeseni yao wanafua
Hapo hauna namna zaidi ya kubadilisha ratiba au unaweza ukafua ijumaa usiku kama kuna mwanga wa kutosha

Ukirudi kazini unafua kwahyo weekend inakukuta ushafua

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Tangu nianze maisha ya kupanga..
Sijawah kaa na mwenye nyumba huwa nawakwepa sana though kuna wengine wana roho nzuri sana ila huwa sitaki kuamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…