Ulevi wa Kina Tibaijuka, Werema na Wenzao Hauondoki Isipokuwa kwa Pingu na...

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,478
39,997
1920201_10152587881141156_1576686113821240378_n.jpg

Kuna msemo kuwa "madaraka yanaharibu; na madaraka makubwa yanaharibu vikubwa" - power corrupts, absolute power corrupts absolutely. Mt anaweza kuona anafaa sana kabla ya kupewa madaraka, na akiwa na madaraka kidogo anaweza kuonekana ni bora zaidi lakini ngoja umpe madaraka makubwa; utakiona cha moto.

Kashfa karibu zote ambazo zimetokea Tanzania na ambazo zitaendelea kutokea zinahusiana moja kwa moja na matumizi mabaya ya madaraka (abuse of power). Na tatizo kubwa pia ni kuwa hao ambao wanatumia madaraka yao vibaya hawaamini wanatumia madaraka hayo vibaya; hutumia kila aina ya kisingizio na udhuru kujaribu kutuelewesha kuwa kwanini walichofanya ni sahihi.

Na wanakuwa wa mwisho kuona jinsi gani wametumia madaraka vibaya. Ni kama mtu mlevi; mtu mlevi ni wa mwisho kabisa duniani kujua kuwa ana tatizo la ulevi (alcoholism). Wakati familia, jamii na hata marafiki tayari wameshamuona ana tatizo la kinywaji a.k.a ulabu yeye mwenyewe haamini kuwa ana tatizo hilo na anaweza kuonesha kuwa yuko timamu. Na anaweza kusema kuwa wakati wowote akiamua kuacha anaweza kuacha. Mlevi wa madaraka naye yuko hivyo hivyo; anaamini kabisa yuko sawa na hana tatizo.

Matokeo yake walevi wa madaraka wana hatari kubwa zaidi kwa sababu wakati mlevi anaweza kuwa tatizo kubwa kwa familia yake au watu anaokutana nao moja kwa moja (kama katika ajali hivi) mlevi wa madaraka ana matokeo makubwa zaidi kwani maamuzi yake yanaweza kusababisha madhara makubwa kwa watu na kwa jamii. Mtu anayetumia madaraka vibaya anaweza kuwa chanzo na kichocheo cha umaskini katika jamii - wakati yeye anafurahia utajiri (kama mlevi anavyotumia pombe).

Mfano wa Anna Tibaijuka na viongozi wengine ambao wamepigwa upofu na fedha, umaarufu, na madaraka (blinded by money, fame and power) ni kuwa wanaamini watu wote hawako sahihi; hawawezi kujiangalia wao wenyewe kwani wanaamini wanaangaliwa kwa jicho la wivu.

Ndio maana watu kama Werema wanazile dalili za ulevi huu. Werema anapojiuzulu anatuambia ati wote hatukuelewa ushauri wake. Kwamba alichokishauri ni kitu cha juu sana kiasi kwamba akili zetu kama taifa haziwezi kuelewa na hivyo ni makosa yetu kutokuelewa na siyo kosa lake kushauri. Na wala hawezi kuamini kuwa yeye ndiye haelewi hasira ya taifa ni nini kuhusiana na hili. Naye kama Tibaijuka anajionesha kuwa ni mlevi.

Walevi wote wa madaraka kama walivyo walevi wengine hawawezi kuacha kwa kutaka wenyewe. Ulevi huu unanguvu mno za kulevya (intoxicating power); na mtu hawezi kuacha bila kuwa na dalili kali za kukosa kileo (withdrawal symptoms). Watu kama hawa wakati mwingine wanahitaji kusaidiwa kwa watu wasio na ulevi huu kuingilia kati (intervention).

Kuingilia huku inaweza kuwa kwa kuwatimua kazi, kuwatia pingu, kuwanyang'anya mali zote haramu na kuhakikisha wanapigwa marufuku kusimamia fedha za umma mahali popote na kwa wale ambao ulevi huu ni mkali kwao basi kupigwa marufuku kabisa kushika nafasi yoyote ya umma. Kuwaambia tu walevi wa madaraka wajiuzulu au kuwahamisha haitoshi; watatafuta kileo kingine tu... mlevi haachi mwenyewe.

Ndio njia pekee ya kuwasaidia.
 
1920201_10152587881141156_1576686113821240378_n.jpg

Kuna msemo kuwa "madaraka yanaharibu; na madaraka makubwa yanaharibu vikubwa" - power corrupts, absolute power corrupts absolutely. Mt anaweza kuona anafaa sana kabla ya kupewa madaraka, na akiwa na madaraka kidogo anaweza kuonekana ni bora zaidi lakini ngoja umpe madaraka makubwa; utakiona cha moto.

Kashfa karibu zote ambazo zimetokea Tanzania na ambazo zitaendelea kutokea zinahusiana moja kwa moja na matumizi mabaya ya madaraka (abuse of power). Na tatizo kubwa pia ni kuwa hao ambao wanatumia madaraka yao vibaya hawaamini wanatumia madaraka hayo vibaya; hutumia kila aina ya kisingizio na udhuru kujaribu kutuelewesha kuwa kwanini walichofanya ni sahihi.

Na wanakuwa wa mwisho kuona jinsi gani wametumia madaraka vibaya. Ni kama mtu mlevi; mtu mlevi ni wa mwisho kabisa duniani kujua kuwa ana tatizo la ulevi (alcoholism). Wakati familia, jamii na hata marafiki tayari wameshamuona ana tatizo la kinywaji a.k.a ulabu yeye mwenyewe haamini kuwa ana tatizo hilo na anaweza kuonesha kuwa yuko timamu. Na anaweza kusema kuwa wakati wowote akiamua kuacha anaweza kuacha. Mlevi wa madaraka naye yuko hivyo hivyo; anaamini kabisa yuko sawa na hana tatizo.

Matokeo yake walevi wa madaraka wana hatari kubwa zaidi kwa sababu wakati mlevi anaweza kuwa tatizo kubwa kwa familia yake au watu anaokutana nao moja kwa moja (kama katika ajali hivi) mlevi wa madaraka ana matokeo makubwa zaidi kwani maamuzi yake yanaweza kusababisha madhara makubwa kwa watu na kwa jamii. Mtu anayetumia madaraka vibaya anaweza kuwa chanzo na kichocheo cha umaskini katika jamii - wakati yeye anafurahia utajiri (kama mlevi anavyotumia pombe).

Mfano wa Anna Tibaijuka na viongozi wengine ambao wamepigwa upofu na fedha, umaarufu, na madaraka (blinded by money, fame and power) ni kuwa wanaamini watu wote hawako sahihi; hawawezi kujiangalia wao wenyewe kwani wanaamini wanaangaliwa kwa jicho la wivu.

Ndio maana watu kama Werema wanazile dalili za ulevi huu. Werema anapojiuzulu anatuambia ati wote hatukuelewa ushauri wake. Kwamba alichokishauri ni kitu cha juu sana kiasi kwamba akili zetu kama taifa haziwezi kuelewa na hivyo ni makosa yetu kutokuelewa na siyo kosa lake kushauri. Na wala hawezi kuamini kuwa yeye ndiye haelewi hasira ya taifa ni nini kuhusiana na hili. Naye kama Tibaijuka anajionesha kuwa ni mlevi.

Walevi wote wa madaraka kama walivyo walevi wengine hawawezi kuacha kwa kutaka wenyewe. Ulevi huu unanguvu mno za kulevya (intoxicating power); na mtu hawezi kuacha bila kuwa na dalili kali za kukosa kileo (withdrawal symptoms). Watu kama hawa wakati mwingine wanahitaji kusaidiwa kwa watu wasio na ulevi huu kuingilia kati (intervention).

Kuingilia huku inaweza kuwa kwa kuwatimua kazi, kuwatia pingu, kuwanyang'anya mali zote haramu na kuhakikisha wanapigwa marufuku kusimamia fedha za umma mahali popote na kwa wale ambao ulevi huu ni mkali kwao basi kupigwa marufuku kabisa kushika nafasi yoyote ya umma. Kuwaambia tu walevi wa madaraka wajiuzulu au kuwahamisha haitoshi; watatafuta kileo kingine tu... mlevi haachi mwenyewe.

Ndio njia pekee ya kuwasaidia.

Mh Tibaijuka atasoma humu nataraji ataelewa ulichoelezea hapa. Labda tu wasitake kuelewa shauri ya kulewa. Asante MMK.
 
Nimeipenda sana hii, ingefaa hii uisemee kwenye press conference kama ilivyo bila kupunguza kitu, huku camera zimekumulika kwa hisia kali Ili imfanye naye arudi tena kwenye press conference aijibu


1920201_10152587881141156_1576686113821240378_n.jpg

Kuna msemo kuwa "madaraka yanaharibu; na madaraka makubwa yanaharibu vikubwa" - power corrupts, absolute power corrupts absolutely. Mt anaweza kuona anafaa sana kabla ya kupewa madaraka, na akiwa na madaraka kidogo anaweza kuonekana ni bora zaidi lakini ngoja umpe madaraka makubwa; utakiona cha moto.

Kashfa karibu zote ambazo zimetokea Tanzania na ambazo zitaendelea kutokea zinahusiana moja kwa moja na matumizi mabaya ya madaraka (abuse of power). Na tatizo kubwa pia ni kuwa hao ambao wanatumia madaraka yao vibaya hawaamini wanatumia madaraka hayo vibaya; hutumia kila aina ya kisingizio na udhuru kujaribu kutuelewesha kuwa kwanini walichofanya ni sahihi.

Na wanakuwa wa mwisho kuona jinsi gani wametumia madaraka vibaya. Ni kama mtu mlevi; mtu mlevi ni wa mwisho kabisa duniani kujua kuwa ana tatizo la ulevi (alcoholism). Wakati familia, jamii na hata marafiki tayari wameshamuona ana tatizo la kinywaji a.k.a ulabu yeye mwenyewe haamini kuwa ana tatizo hilo na anaweza kuonesha kuwa yuko timamu. Na anaweza kusema kuwa wakati wowote akiamua kuacha anaweza kuacha. Mlevi wa madaraka naye yuko hivyo hivyo; anaamini kabisa yuko sawa na hana tatizo.

Matokeo yake walevi wa madaraka wana hatari kubwa zaidi kwa sababu wakati mlevi anaweza kuwa tatizo kubwa kwa familia yake au watu anaokutana nao moja kwa moja (kama katika ajali hivi) mlevi wa madaraka ana matokeo makubwa zaidi kwani maamuzi yake yanaweza kusababisha madhara makubwa kwa watu na kwa jamii. Mtu anayetumia madaraka vibaya anaweza kuwa chanzo na kichocheo cha umaskini katika jamii - wakati yeye anafurahia utajiri (kama mlevi anavyotumia pombe).

Mfano wa Anna Tibaijuka na viongozi wengine ambao wamepigwa upofu na fedha, umaarufu, na madaraka (blinded by money, fame and power) ni kuwa wanaamini watu wote hawako sahihi; hawawezi kujiangalia wao wenyewe kwani wanaamini wanaangaliwa kwa jicho la wivu.

Ndio maana watu kama Werema wanazile dalili za ulevi huu. Werema anapojiuzulu anatuambia ati wote hatukuelewa ushauri wake. Kwamba alichokishauri ni kitu cha juu sana kiasi kwamba akili zetu kama taifa haziwezi kuelewa na hivyo ni makosa yetu kutokuelewa na siyo kosa lake kushauri. Na wala hawezi kuamini kuwa yeye ndiye haelewi hasira ya taifa ni nini kuhusiana na hili. Naye kama Tibaijuka anajionesha kuwa ni mlevi.

Walevi wote wa madaraka kama walivyo walevi wengine hawawezi kuacha kwa kutaka wenyewe. Ulevi huu unanguvu mno za kulevya (intoxicating power); na mtu hawezi kuacha bila kuwa na dalili kali za kukosa kileo (withdrawal symptoms). Watu kama hawa wakati mwingine wanahitaji kusaidiwa kwa watu wasio na ulevi huu kuingilia kati (intervention).

Kuingilia huku inaweza kuwa kwa kuwatimua kazi, kuwatia pingu, kuwanyang'anya mali zote haramu na kuhakikisha wanapigwa marufuku kusimamia fedha za umma mahali popote na kwa wale ambao ulevi huu ni mkali kwao basi kupigwa marufuku kabisa kushika nafasi yoyote ya umma. Kuwaambia tu walevi wa madaraka wajiuzulu au kuwahamisha haitoshi; watatafuta kileo kingine tu... mlevi haachi mwenyewe.

Ndio njia pekee ya kuwasaidia.
 
Walevi wa madaraka ni lazima wadhibitiwe, watiwe pingu, wachapwe ili ulevi uwatoke na maisha yaendelee!
Siyo sawa wala haki na haikubaliki kuwaacha walevi hawa wapumbavu waendelee kutuchezea!
 
Ulevi wa Kina Tibaijuka, Werema na Wenzao Hauondoki Isipokuwa kwa Pingu na kutengwa na jamii. Tuanze na JF kwa kuwapa BAN ya maisha watu wa aina hii. Ni tatizo wananchi tunapowasifia wezi kama hawa na kusema wamepata maendeleo na ni mfano kuigwa bila kujiuliza wamepataje maendeleo yao.
Licha ya Bill Cosby kuwa anatuhumiwa tu, taasisi adilifu zimekataa kujihusisha naye [angalia hapo chini] JF tukatae kua taasisi isiyo adilifu kwa kuhusishwa mafisadi hawa kama members wa JF. Apewe BAN ya maana kuonyesha uadilifu wetu. Tuonyeshe mfano.Lets show them we are GREAT THINKERS.

Spelman College Ends Relationship With Bill Cosby. | Atlanta Daily World

Why Temple cut ties with Cosby | MSNBC

UMass Amherst cuts ties with Bill Cosby - CNN.com
 
Ulevi wa Kina Tibaijuka, Werema na Wenzao Hauondoki Isipokuwa kwa Pingu na kutengwa na jamii. Tuanze na JF kwa kuwapa BAN ya maisha watu wa aina hii. Ni tatizo wananchi tunapowasifia wezi kama hawa na kusema wamepata maendeleo na ni mfano kuigwa bila kujiuliza wamepataje maendeleo yao.
Licha ya Bill Cosby kuwa anatuhumiwa tu, taasisi adilifu zimekataa kujihusisha naye [angalia hapo chini] JF tukatae kua taasisi isiyo adilifu kwa kuhusishwa mafisadi hawa kama members wa JF. Apewe BAN ya maana kuonyesha uadilifu wetu. Tuonyeshe mfano.Lets show them we are GREAT THINKERS.

Spelman College Ends Relationship With Bill Cosby. | Atlanta Daily World

Why Temple cut ties with Cosby | MSNBC

UMass Amherst cuts ties with Bill Cosby - CNN.com

Toa utaahira wako hapa. Mambo ya Bill Cosby hayatuhusu .. Ya marekani waachie wamarekani. Hii ni Tanzania
 
Mkuu
Zambia walipoona ulevi ni tatizo hasa baada ya kushindwa kushawishi walevi, serikali ikachukua jukumu la kuzuia ulevi. Marufuku kufungua bar au kilabu cha pombe wakati wakazi.

Hali iliimarika kiasi baada ya wenye bar kutambua wakifungua watapigwa pingu.
Walevi wakaogopa,kila walipokuwa na akili timamu , wakitinga bar wanakuta mwenye bar ima kafunga, au anaogopa pingu. Kabla hawajalewa wakajua ulevi ni tatizo

Sasa unaposhauri walevi wapigwe pingu, mkuu huoni kuwa wao si tatizo, tatizo ni yule mwenye bar anayewa pa nafasi za kulewa?
 
kati ya 'walevi' walionisikitisha ni huyu mama msomi mwenye CV ya kutisha.
Profesa aliyewahi kufanya kazi UN.

Ama kweli ulevi wa madaraka ni m'baya pengine kuliko ulevi wa mataputapu.
 
Mkuu
Zambia walipoonaulevi ni tatizo hasa baada ya kushindwa kushawishi walevi, serikali ikachukuajukumu la kuzuia ulevi. Marufuku kufungua bar au kilabu cha pombe wakati wakazi.

Haliiliimarika kiasi baada ya wenye bar kutambua wakifungua watapigwa pingu.
Walevi wakaogopa,kila walipokuwa na akili timamu , wakitinga bar wanakuta mwenye bar imakafunga, au anaogopa pingu. Kabla hawajalewa wakajua ulevi ni tatizo

Sasaunaposhauri walevi wapigwe pingu, mkuu huoni kuwa wao si tatizo, tatizo ni yulemwenye bar anayepa nafasi za kulewa?

Mkuu at least you have the mind of going to the root. Without dealing with the problem from the root, nothing is going to change.

Ukiaangalia tatizo lote la Escrow na mengine ya nyuma jibu ni rais na ikulu. Unajua tulidanganywa kuwa EL ndio Richmond hadi alipoondoka tukadhani kuwa since then serikali itakuwa safi, lakini imekuwa chafu kuliko wakati ule. Unless we get the remedy for Stockholm syndrome we have, we will never be able to see things in full clarity.
 
Kwa sasa CCM imekuwa kimbilio la wezi hembu jaribu kutafakari kidogo. Hiki chama wapo watu waaminifu na waadilifu lakini mfumo wao umekuwa taasisi ya rushwa na ufisadi kiasi kwamba hata wale wachache nao wamechafuka kwa rushwa na ufisadi huo.Sasa taratibu uchafu huu unaichafua nchi nzima na wananchi wote kimataifa,mtanzania atafahamika kwa ufisadi duniani, what an anxiety!

Tusaidiane jamani wote jamani watanzania kutatua tatizo hili ama sivyo watanzania tutazidi kuangamia kwa ujinga na woga wetu ambao ndio mtaji wa mafisadi.
 
Mkuu
Zambia walipoonaulevi ni tatizo hasa baada ya kushindwa kushawishi walevi, serikali ikachukuajukumu la kuzuia ulevi. Marufuku kufungua bar au kilabu cha pombe wakati wakazi.

Haliiliimarika kiasi baada ya wenye bar kutambua wakifungua watapigwa pingu.
Walevi wakaogopa,kila walipokuwa na akili timamu , wakitinga bar wanakuta mwenye bar imakafunga, au anaogopa pingu. Kabla hawajalewa wakajua ulevi ni tatizo

Sasaunaposhauri walevi wapigwe pingu, mkuu huoni kuwa wao si tatizo, tatizo ni yulemwenye bar anayepa nafasi za kulewa?

Unajua umenifanya nijiulize labda na mwenye Bar mwenyewe naye ni mlevi...
 
Tanzania ni nchi yetu sote, hata mwakani watanzania wakichagua ccm mambo yatakuwa hayohayo tu. Kwa sababu ccm wana mfumo wa kulindana sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom