Kipstech
Member
- Feb 15, 2012
- 38
- 22
Mlevi mmoja aliingia kwenye matatu nakukaa siti ya mbele, akaweka begilake kwenye siti kulia kwake kishaakalala.Baada ya muda akaingia mlevimwingine akatoa lile begi, akaketiyeye...naye akalala.Mlevi wa kwanza alipoamka bilakuangalia akafungua zipu ya mlevimwenzake akijua anafungua begilake...Akaanza kupapasa ndani,kwa hasira akauliza, "NANIKAWEKA NDIZI MOJA, NYANYAMBILI NA STEELWIRE KWENYE BEGILANGU!!"