LOL... ocampo wangu anaandaa dossier la wiki nzima saa hizi, jiandaeni kutoa ushahidi tu wakuuhahahahaaa!!! Habari ya OCAMPO wako bana!
najua kibinadam ni ianuma sana maana kibao hicho wala si kofi la mpz,lkn mm ningekuwa huyo mke,ningeenda kumlaza kitandani asb na mapema ningemchemshia supu ya nguvu ya kuku wa kienyeji,then ningeomba kuongea nae taratiiiibu,ntamuonyesha hilo kovu alonipa kutokana na ulevi wake,najua ataona aibu sana maana ntamwambia na maneno aliyosema kabla ya kibao,ntakuwa tayari kumsamehe na kumpa mazungumzo baada ya habari(tendo la ndoa),lkn moyoni ntashukuru kwa kunidhamini na kunipenda sana.
Mme karudi nyumbani chakari .netwek imekata ..mke anampokea mme wake na kumvua nguo ili amlaze kitandani
Mme: We ma hick hick maaya hick hick we maaya..niashe hick hick .nashema niashe hick hick .nampenda mke wangu
Kinafata kibao kikal kinachomwachia mamsapu alama ya kudumu katika risepsheni yake .
Ipi itakua reaction ya mamsapu?
Hapa nazungumzia ulevi na uadilifu....
Nawatakia maandilizi mema ya ujio wa Masiha....mbege na bia kwa wingi!
Yani mimi ntamuwasha na yeye bonge ya kibao, mangumi ya uso kila sehem, ntatumia huo muda wa ulevi wake kujifanya matumla na mdunda, kwa maana akiwa mzima ataniua sitaweza mrudishia. Hiyo itakua bonge ya opportunity kwangu, piga mpaka amwite mungu shemeji.
wow.... if that is true then congrats for having that positive life in younajua kibinadam ni ianuma sana maana kibao hicho wala si kofi la mpz,lkn mm ningekuwa huyo mke,ningeenda kumlaza kitandani asb na mapema ningemchemshia supu ya nguvu ya kuku wa kienyeji,then ningeomba kuongea nae taratiiiibu,ntamuonyesha hilo kovu alonipa kutokana na ulevi wake,najua ataona aibu sana maana ntamwambia na maneno aliyosema kabla ya kibao,ntakuwa tayari kumsamehe na kumpa mazungumzo baada ya habari(tendo la ndoa),lkn moyoni ntashukuru kwa kunidhamini na kunipenda sana.
najua kibinadam ni ianuma sana maana kibao hicho wala si kofi la mpz,lkn mm ningekuwa huyo mke,ningeenda kumlaza kitandani asb na mapema ningemchemshia supu ya nguvu ya kuku wa kienyeji,then ningeomba kuongea nae taratiiiibu,ntamuonyesha hilo kovu alonipa kutokana na ulevi wake,najua ataona aibu sana maana ntamwambia na maneno aliyosema kabla ya kibao,ntakuwa tayari kumsamehe na kumpa mazungumzo baada ya habari(tendo la ndoa),lkn moyoni ntashukuru kwa kunidhamini na kunipenda sana.
wow.... if that is true then congrats for having that positive life in you
hongera sana
Thx ntafika huko kwenye u wife,bado nipo nipo kidogo,hasira hasara yanini malumbanooooooooooo?
Orait, weka credit kwa simu, OCAMPO akipiga tu, wewe unakata, unatwanga wewe, then unaanza kwa kusema, nipo na Bigirita hapa, ongea naye.LOL... ocampo wangu anaandaa dossier la wiki nzima saa hizi, jiandaeni kutoa ushahidi tu wakuu
Habbarr ako roya bana
Lulu, kweli wewe ni wa maana kama majibu haya sio ya kwenye keyboard.najua kibinadam ni ianuma sana maana kibao hicho wala si kofi la mpz,lkn mm ningekuwa huyo mke,ningeenda kumlaza kitandani asb na mapema ningemchemshia supu ya nguvu ya kuku wa kienyeji,then ningeomba kuongea nae taratiiiibu,ntamuonyesha hilo kovu alonipa kutokana na ulevi wake,najua ataona aibu sana maana ntamwambia na maneno aliyosema kabla ya kibao,ntakuwa tayari kumsamehe na kumpa mazungumzo baada ya habari(tendo la ndoa),lkn moyoni ntashukuru kwa kunidhamini na kunipenda sana.
Orait, weka credit kwa simu, OCAMPO akipiga tu, wewe unakata, unatwanga wewe, then unaanza kwa kusema, nipo na Bigirita hapa, ongea naye.
jana ilikuwaje?Nzuri banaaa....na hangover imeisha bana....natafuta nyingine...
Unatoa anonymous unaweka Tanzania DistilariesHabbarr ako roya bana
jana ilikuwaje?
ulimnasa mtu kibao?
ha ha ha ha!Unatoa anonymous unaweka Tanzania Distilaries