Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
yani ipo protected na TANESCO Security Group?Lami imezuiwa na nguzo ya tanesko!
yani ipo protected na TANESCO Security Group?Lami imezuiwa na nguzo ya tanesko!
nan uyo?yule mwingine 'umemfanya nini''?
mbona anamchunia kila mtu?
ulevi asavali bana infiii inaumaIpi afadhali....ulevi au infii...
Orait, sasa wewe umekuja kivingine. asavali nakubaliana na weweulevi asavali bana infiii inauma
I thought umenibagua..lol
mmhhh kweli kabisa hatuwezi kumwacha ST. nyuma..
tunahitaji maombi yote..
uko kundini usijali.......
mi ndo maana namapenda sana nyanzala wangu ..nikilewa na yeye analewa kulaleki basi asubuhi ni kunyang'anyana tu mibakuli ya supu ya mkia pale hongera bar...halafu tunapatana tunarudi home safiii..miaka elfu 8 sasa hakuna kokoro
The Following 2 Users Say Thank You to Kalamu Daftari For This Useful Post:mi ndo maana namapenda sana nyanzala wangu ..nikilewa na yeye analewa kulaleki basi asubuhi ni kunyang'anyana tu mibakuli ya supu ya mkia pale hongera bar...halafu tunapatana tunarudi home safiii..miaka elfu 8 sasa hakuna kokoro
nakutaka.nakumiss.nakuitaj
Hapa kinaendelea gani wajameni?
mi ndo maana namapenda sana nyanzala wangu ..nikilewa na yeye analewa kulaleki basi asubuhi ni kunyang'anyana tu mibakuli ya supu ya mkia pale hongera bar...halafu tunapatana tunarudi home safiii..miaka elfu 8 sasa hakuna kokoro
Hapa kinaendelea gani wajameni?