Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 309
najua hakuna kitu kirahisi ktk maisha,kila kitu ni kigum ,hata dating pia ni ngum tena sana lkn pia usikubali kila kitu ni kigumu kwakuwa ni kigumu,unaweza ukawa ni mtu pekee wa kufanya kitu kigum kuwa chepesi,najua sijafika huko na ugum uko sana lkn tukiachana na ndoa za sasa za ku copy na kupaste,bado kuna ndoa nyingi zilizopitia ugum zaidi ya hii ya mlevi,na bado wanapendana,heshimiana na kuonekana ni vijana yappo ni wazee,wazazi wetu walipitia meeeengi magum lkn walifika walipotaka kufika,kila kitu ni uvumilivu,na upendo daima,lakini Mungu ni mweza ya yote hasa ukumshirikisha ktk hili,ulitaka wapigane na kuwekana makovu zaidi?Mume mwema hutoka kwa bwana kama Mungu ataniletea mlevi naamini anamakusudi na mm ya kumbadilisha si asiwe mlevi bali awe mnywaji kiasi.
OOoh my God! kumbe unaongelea nadharia! Ndugu mambo hayo ni magumu na huwezi toa uamuzi kwamba utafanya nini.....hutegemea na circumstances.
Ushauri wangu...kama bado upo upo...epuka kuolewa na mtu ambaye ulevi kwake ni jadi...ni kero kinoma....niliwahi kuwa mlevi na najua nilivyokuwa namkera OCAMPO wangu....nashukuru Mungu nimeyashinda hayo na OCAMPO hana kesi ya kupeleka THE HAGUE tena.