Pambalu siyo msukuma huyo ni mfipa. Usirudie tena kosa hilo kudhani na yeye ni mmmoja wa watu makini yaani wasukumaSio lazima uwapigie kura Chadema wapo ACT, NCCR, UDP na TLP.
Mashinji ni Msukuma, John Mnyika ni Msukuma, Pumbalu mwenyekiti wa BAVICHA ni Msukuma. Zaidi sana kura huwa haziamui chochote hapo bongo, ni geresha tu ya watawala.Hata usipoenda kupiga kura, watashinda tu.Usifikirie kura yako ina umuhimu sana.
Binadamu mtu wa ajabu. Pindi tu Mhe. Mama Samia akifanya uteuzi ambao hatuupendi utabadilika mlio wa ngoma - ooh mwanamke, Muislamu n.k n.k Binadamu are unique species.
KicheoWakubwa kiumri au?
Bado wapo jeshini?Kicheo
Mwanzo nilijua Chadema ni chama cha siasa, so ilipofika 2011 nilichukua kadi
Nilimkubali sana Zitto na Slaa enzi hizo
Baada ya kufika moshi na kugundua siri ya Chadema nilichoma kadi haraka sana
Sasa hua nikiwaona wasukuma wanashangilia chadema, najisemea mwenyewe kuna siku wataijua siri ya hawa wanaowashangilia
Pale chadema hata tundu lissu hana thamani kama John Mrema
Na ukitaka ujue hawa ni wakabila, hata kipindi vifo vya corona vimepamba moto
Walishangilia kila kifo cha mtu wa serikalini isipokua mwenye jina la kwao tu
Ninachoshukuru Mungu hii nchi abadani haitokuja kutawaliwa na mchaga, hata wafanyeje.
Bado wapo jeshini?
You just wait...
It won’t even take that long.
Haya bwashee mtoto wa Kaka yako huko Bandari wameshamvurumisha.
Nobody cares for your opinion.Wewe naye uko Marekani ipi ambayo hu enjoy "First Amendment" ? Au ndio kuku akikaa na kamba mguuni muda mrefu hata akifunguliwa anahisi bado yuko kifungoni.
Mawazo yako bado ya kigiza giza na ki imla sana kama vile hujakanyaga free world.
Hizo ni assumptions zako na wenzako tu.Waliondolewa chap ili kupunguza malalamiko.wengine walitupwa wizarani kama makatibu wakuu au ubalozini.
Duh, Ndio maana wameanza kujishtukiaSent using Jamii Forums mobile app
=====
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limemuhoji Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, kwa tuhuma za kusambaza kipeperushi na sauti kwa lugha ya kisukuma, zenye lengo la kuhamasisha watu kuunda kikundi cha kikabila nchini.
Taarifa hiyo imetolewa leo Machi 3, 2020, na Kaimu Kamanda wa Polisi Kanda Maalum, SACP Camillius Wambura, na kusema kuwa kutokana na jumbe hizo kuonekana kuhamasisha vitendo vya kikabila,Jeshi hilo limempa onyo kali la kuacha mara moja vitendo vya kuligawa Taifa.
"Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limemuonya vikali Askofu Gwajima kuacha mara moja, vitendo vya kuligawa Taifa kwa kutumia vigezo vya ukabila na kutoa onyo kwa wote wenye nia ya kutaka kuligawa Taifa kwa njia ya ukabila, udini ama ukanda" amesema SACP Wambura.
Aidha Kamanda Wambura ameongeza kuwa, "Katika ujumbe huo wa sauti Askofu Gwajima pia, amewataka wasukuma matajiri kuungana kwa pamoja kwa lengo la kuwasaidia wasukuma maskini ili kuondoa dhana ya kwamba wasukuma ni maskini na ni washamba".
Ulijijua upo serengeti!???Mimi nilijua liko Serengeti
Kivipi?Ulijijua upo serengeti!???
Najua ww sio mwana CCMKivipi?
Ukweli ni kwamba, hakuna watu wenye nature ya uadilifu kama watu wa kanda ya ziwa, ni magents wa nchii wazuri, wenye misimamo, makabila mengine wanatabia za kike sana, na hatuwezi kuwaepuka watu wa hukoNdugu Nyani Ngabu, Weweni mmojawapo wa wana JF ninaowafuatilia na kuheshimu sana post zenu. Sikujua Kabila lako hadi leo, na pia sikuwa na haja ya kujua kabila lako, kwani utanzania unanitosha.
Kuna usemi tembo haoni kilicho mgongoni mwake. Wasukuma ni kabila kubwa hapa nchini, na watu wenye imani, subira na upendo, tofauti na makabila mengi ya hapa Afrika Mashariki. Mimi ni ushahidi tosha, kwani nina watu wa jamii yangu ambao hawana asilia ya usukumani, lakini wanaishi na kufanya biashara sehemu nyingi za huku makwenu kwa zaidi ya miaka 70 , na hawakubaguliwa hata siku moja, Mwanza na Shinyanga ni mojawapo ya Miji yenye mchamganyiko mkubwa wa watu wa kila kabila.
Tusifumbie macho ukweli, kila kabila au umma lazima lina wachache walio tofauti na mwenendo wa wengi . Ukweli ni kuwa Hayati Raisi Magufuli alikuwa na mengi mazuri, lakini alikuwa Mkabila sana na Mdini, mimi nilikuwa mfuasi wake na nilimpigia kura mara zote mbili, lakini kwa haya ninauwezo wa kusema kuwa alikuwa MKABILA, MPENDELEAJI NA MDINI, Ukiangalia Baraza lake la Mawaziri ni ushahidi tosha, hata kwenye Udini alienda mbali sana , katika upendeleo wa kidini alielemea zaidi kwenye Madhehebu yake ya kikatoliki.
Wasukuma wengi hawakufurahia ukabila aliokuwa anaufanya, kwani hata hivyo hakuwa anawatendea haki wasukuma kwa ujumla, bali pale penye maslahi yake na wale wakaribu wake.
Wasukuma ni watu wenye mila nzuri na wapenda haki, ila kuna haka kakundi kinachotaka kulitumia taifa, kupitia ukabila, na wanufaika watakuwa ni wao wachache, ukabila unawanufaisha wachache, kupitia mgongo wa wengi.
Tunaihitaji TANZANIA isiyo ya kikabila,
TheoBinadamu mtu wa ajabu. Pindi tu Mhe. Mama Samia akifanya uteuzi ambao hatuupendi utabadilika mlio wa ngoma - ooh mwanamke, Muislamu n.k n.k Binadamu are unique species.
Nilishahama huko kwa Majambazi wa KisiasaNajua ww sio mwana CCM
Haya bwashee mtoto wa Kaka yako huko Bandari wameshamvurumisha.