Mnyika ni Mpare wa Ugweno
..Mnyika anasema kwao ni Bugarika.
..ametamka kuwa Baba yake ni John Michael Dalali.
..pia Bibi yake John, amelelewa Usagara na Bukumbi ktk nyumba ya Mtemi Kafipa.
Mnyika ni Mpare wa Ugweno
Akiwa mwenda zake hawi kipenzi?
Venance Mabeyo si msukuma bali ni mkerewe mtoa post acha upotoshaji
Haya basi mpenzi wenuAkiwa mwenda zake hawi kipenzi?
Alibadili kabila baada ya KM wa CDM. Huyo Dalali ni baba yake wa kufikia yeye baba yake mzazi anaitwa Mnyika..Mnyika anasema kwao ni Bugarika.
..ametamka kuwa Baba yake ni John Michael Dalali.
..pia Bibi yake John, amelelewa Usagara na Bukumbi ktk nyumba ya Mtemi Kafipa.
Venance Mabeyo si msukuma bali ni mkerewe mtoa post acha upotoshaji
Ni Nyahinga au Nyamhanga...?!..Nahisi hata Magufuli hakuwa Msukuma.
..Professor Kabudi alisema Baba yake Magufuli anaitwa Nyamhanga.
..mnaojua majina ya Kisukuma, je Nyamhanga ni jina la Wasukuma?
Ni Nyahinga au Nyamhanga...?!
..Nahisi hata Magufuli hakuwa Msukuma.
..Professor Kabudi alisema Baba yake Magufuli anaitwa Nyamhanga.
..mnaojua majina ya Kisukuma, je Nyamhanga ni jina la Wasukuma?
Kwani ni kweli hicho kinachosemwa kilitokea?Usukuma upo palepale, sema tu ame-weight risks za kufanya huo upumbavu akaona bora abaki kwenye mstari. Hicho ulichotaka afanye sio jambo dogo labda ingekuwa huko burundi, rwanda, kongo au Uganda sio hapa mkuu, never will it happen.
Rejea historia ya majaribio yaliyofanywa kwa mwalimu na yakafeli ndo utajua watanzania ni watu wa namna gani


Nimegundua wengi akili za nyumbu, hawajakuelewa wanajibu kizezeta, wangekuelewa wangekupa kongole.Pole kwa kuwa na kichwa kizito![]()
Mkuu unao wasifu wake uutupie hapa, ni wa kishindo kama huna nitakupa. He has attended reknown Military Universities and Academies.Hujaelewa nini?
Sina.Mkuu unao wasifu wake uutupie hapa, ni wa kishindo kama huna nitakupa. He has attended reknown Military Universities and Academies.
Asante sana kwa kumsoma huyu mtuUnachokisema hapa ndio promotion ya ukabila wenyewe. Ama kupandikiza chuki/mgongano ktk nyakati hizi ambazo mama samia anapaswa kutuliza akili na kuiendesha serikali kiweledi.
👍Mabeyo ametumia akili siyo usukuma. Kwani kuna aliyesema wasukuma wote hawafai ama ni wakabila? Ana akili. Na yeye kuwa na akili, hakuwapi wasukuma wote akili. Same applies to all tribes.