Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,418
Nampenda Magufuli sababu ana ubavu wa kukusanya kodi ili Taifa lijiendeshe bila misaada hata hao wazungu wakitutisha wakae na misaada yao,tuwe km kny
Bidhaa zenu mtauza wapi???Wapi mtanunua???
Nampenda Magufuli sababu ana ubavu wa kukusanya kodi ili Taifa lijiendeshe bila misaada hata hao wazungu wakitutisha wakae na misaada yao,tuwe km kny
Hivi kumbe Shein Mtanganyika? Kalieni huo ubaguzi wenu iko siku utawatafuna halafu mkimbilie huko mnakokuita Tanganyika.Kwa hili ili watanganyika mpate salama lazima muukabidhi uhuru wa wazanzubar kwa amani na magufuli asimamie jambo hilo,mukilazimisha kuikalia kimabavu zanzibar ndio hasara kwenu watanganyika.
hao mahikimu wameteuliwa na serikali ya ccm unafikiri watatenda haki,halafu tume ya uchaguzi haishitakiwa iko huru,serikali ya tz inamifumo mibaya ya utawala halafu wananchi wamenyamaza kimya ukiona hivyo wtz wengi ni mabogas balaa ndo maana hata chupi yanaagiza china!
CUF wameshaambiwa kwamba hata wakienda mahakamani haitasidia maana kesi itakuwa TIME Barred.Pole kwetu hapa Hakimu ni mwanaCCM,anafuata Mwenyekiti wake anavyosema ndivyo anatenda.Refer matamshi ya Magufuli
Mimi naamini kuwa mahakama ina integrity yake. Kuna mechanism ya kufuatilia kuona kama haki inatendeka. Kama hakuna mechanism hiyo, tujue kuna tatizo kubwa linalohitaji ufumbuzi wa haraka, hata kuliko kuangaika na zec au Jecha.
Mahakama zipi sasa?au unazungumzia hizi zilizopewa maagizo ya kuhukumu chap chap ?Sielewi kwa nini cuf kama wanaamini kuwa zec imekosea, si waende mahakamani ili haki ipatikane. Wanaogopa nini kwenda mahakamani?
Sheria inamzuia mtu yeyote kipeleka shauri mahakamani dhidi ya ZEC kuhusiana na matokeo ya uchaguzi.Sielewi kwa nini cuf kama wanaamini kuwa zec imekosea, si waende mahakamani ili haki ipatikane. Wanaogopa nini kwenda mahakamani?
Wee naye mtu mzima sana usitake kujifanya chizi asiyejua mahakama za bongo zinafanyaje kaziSielewi kwa nini cuf kama wanaamini kuwa zec imekosea, si waende mahakamani ili haki ipatikane. Wanaogopa nini kwenda mahakamani?
Magufuli anaposema la zanzibar halimuhusu huo sio ubaguzi?nenda kamuulize magufuli nini maana ya tanzania?Hivi kumbe Shein Mtanganyika? Kalieni huo ubaguzi wenu iko siku utawatafuna halafu mkimbilie huko mnakokuita Tanganyika.
Unajuwa hapa ndipo penye utamu wote wa hii Oscar winning movie ya Jecha. Ikiwa Jecha atalazimisha CUF na vyama vyengine kuviweka kwenye polling card, legally watakuwa wameshiriki uchaguzi japokuwa watakuwa hawana wakala kama ilivyokuwa kwa vyama vyengine vidogo vilivyokuwa havina uwezo wa kuweka wakala kila kituo. Kwa maana hiyo wataweza kupeleka malalamiko yao mahakamani na kupinga matokeo ya uchaguzi.CUF wameshaambiwa kwamba hata wakienda mahakamani haitasidia maana kesi itakuwa TIME Barred.Pole kwetu hapa Hakimu ni mwanaCCM,anafuata Mwenyekiti wake anavyosema ndivyo anatenda.Refer matamshi ya Magufuli
Sasa uhalali wa matokeo utakuja vipi na kishasema matokeo kama ni baatil? Yaani ameze ale matapishi yake mwenyewe.Kwann humshauri jecha amalizie kutangaza matokeo halali ya uchaguzi uliokamilika?cuf waende mahakamani kufanya nn kwa uchaguzi uliokamilika?
Mahakama zipi mkuu...hizi ambazo Jaji mkuu baadae anakuwa na kadi ya CCM, hizi ambazo mwenyekiti wa tume ya uchaguzi anaweza kugombea urais kupitia chama tawala? Demokrasia yetu bado changa na tunataka kutokuona kasoro za mifumo yetu na madhara yake kwa taifa. Naamini sheria ya mita mia mbili iko sahihi lakini tafsiri ya waheshimiwa ilisema haiko sahihi na wamekuwa manaibu spika....!!! Shame!Sielewi kwa nini cuf kama wanaamini kuwa zec imekosea, si waende mahakamani ili haki ipatikane. Wanaogopa nini kwenda mahakamani?
Dah! Nasikia woga
Unajuwa hapa ndipo penye utamu wote wa hii Oscar winning movie ya Jecha. Ikiwa Jecha atalazimisha CUF na vyama vyengine kuviweka kwenye polling card, legally watakuwa wameshiriki uchaguzi japokuwa watakuwa hawana wakala kama ilivyokuwa kwa vyama vyengine vidogo vilivyokuwa havina uwezo wa kuweka wakala kila kituo. Kwa maana hiyo wataweza kupeleka malalamiko yao mahakamani na kupinga matokeo ya uchaguzi.
Scenario ya pili ambayo Jecha & co hawaipendelei ni kuwatoa kwenye polling process CUF na vyama vyengine vilokataa kushiriki. Lakini hata kama hawatakuwa wameshiriki basi wanayo haki ya kwenda kupinga matokeo mapya mahakamani kwa vile hakukuwa na uhalali wa kufutiwa matokeo yao ya Oct 2015. Wa kwenda mahakamani alikuwa Jecha kuomba kufutwa kwa matokeo yale kwa vile ni mahakama pekee ndio ilikuwa yenye uwezo wa kubadilisha matokeo na alikuwa hana legal auyhority ya kufuta yale matokeo na kwa maana hiyo kauli yake kisheria ilikuwa haisihi. Ufahamu ya kwamba CUF hawatokwenda kupinga matokeo ya uchaguzi hapa, watakachokwenda kupigania ni uhalali wa matokeo yao, na sio kuweka pingamizi ya matokeo ya uchaguzi kwa vile Jecha kaamua kutoa hati za udiwani na uwakilishi mara mbili, jee ipi ni halali? Huwezi kuuza nyumba yako kwa watu wawili tofauti kwa wakati tofauti. Obviously mauzo ya mara ya pili yatakuwa legally void kwa vile ulipouza mara ya pili ulikuwa unauza kitu si chako, na hicho ndicho anachofanya Jecha!
Mahakama zipi mkuu...hizi ambazo Jaji mkuu baadae anakuwa na kadi ya CCM, hizi ambazo mwenyekiti wa tume ya uchaguzi anaweza kugombea urais kupitia chama tawala? Demokrasia yetu bado changa na tunataka kutokuona kasoro za mifumo yetu na madhara yake kwa taifa. Naamini sheria ya mita mia mbili iko sahihi lakini tafsiri ya waheshimiwa ilisema haiko sahihi na wamekuwa manaibu spika....!!! Shame!
ukiwa ccm gauni utavalishwa huku ukiimba na kanga utafungwa tu utake usitake,kuwa mwanaccm inahitaji moyo na kujitoa ufahamuMagufuli anaposema la zanzibar halimuhusu huo sio ubaguzi?nenda kamuulize magufuli nini maana ya tanzania?