Ulaya wamgomea Magufuli

Dada upo sahihi, mimi siku zote nawaeleza vijana kuwa unapotaka kueleza jambo ambalo linahitaji discussion ni lazime uwe na facts ili wanaojadili watembee humo na great thinkers watajiongeza.

Papara na uzushi zinawafanya washindwe kujenga hoja.
 
Kikwete, Rais mzima wa nchi aliikataa fedha yetu iliyopigwa na akina Hybinder Singh na shoga yake Rugemalira kwamba si yetu, Magufuli naye kawakataa wazanzibar waliompigia kura chini ya hiyo hiyo ZEC kuwa hawamhusu ila anaona ni halali awapige wakimletea fyoko.

Hizi kauli za viongozi wa nchi kutishia kuwapiga watu wao zimejaa sana huku Afrika, sijawahi kumsikia kiongozi wa Ulaya akiwaambia hivyo raia wake. Hawa wetu sijui wana wazimu gani.

Ngoja Donald Trump aingie madarakani huko marekani asaidie kuwanyoosha maana anasema nchi itakayojiondoa ICC atairudisha kwa nguvu.
 
Jamani Tanganyika ni wapi?
Mimi nimezaliwa Tanzania nimesikiasikia tu huko Tanganyika
Wataalamu naomba muelewesho.
Tanganyika ndipo Magufuli anatawala kule Zanzibar hana chake wale wapo huru sasa ni tofauti na enzi ya Nyerere Rais wa Zanzibar alikuwa makamu wa Rais hata sikukuu za mapinduzi Nyerere ndiyo alikagua gwaride siku hizi Tanganyika imekuwa Mkoloni japo Zanzibar ina Serikali yake ni mbinu za kijanja kukwepa lawama endapo yatatokea majanga Tanganyika itajifanya haina mamlaka huko.
 
M
Nchi hii ina Vioja vingi Rais anasema yeye hana mamlaka na Zanzibar lakini cha Ajabu majeshi yake ndiyo yamejaa Zanzibar kwa Amri zake, sasa Kama hana mamlaka basi ayatoe majeshi Zanzibar aone watajitawala vipi.
 
H
hakuna haja ya story ndefu haitasaidia kitu, kwa mtizamo wangu hakuna haja ya kurudia Uchaguzi Zanzibar ni bora wamtangaze kwa mabavu Shein awe Rais kuliko kupoteza pesa na mda kufanya uchaguzi ambao matokeo wanayo mfukoni Kama JK alivyofanya kule Dodoma. Kila mzanzibar anajua matokeo ya tarehe 20 yalishapangwa Shein awe mshindi kuna haja gani kupoteza pesa? Mtangazeni Shein kisha Dunia itawahukumu kwa Dhambi yenu kubwa.
 
Uchaguzi Zanzibar ulishafanyika nje yaani mechi imechezwa nje ya uwanja kilichokuwepo ni kupoteza pesa kuchezea akili za watu tu hakuna jipya hapo zaidi ya kusikia Dr Shein apata Ushindi wa kushindo, demokorasia imebakwa kwa 100%
 
Kwann humshauri jecha amalizie kutangaza matokeo halali ya uchaguzi uliokamilika?cuf waende mahakamani kufanya nn kwa uchaguzi uliokamilika?

Jecha hawezi kutangaza mpaka aamrishwe na mahakama. CUF wafungue kesi na Jecha ashitakiwe binafsi. Nina hakika atashindwa kwani hana muhtasari wa kikao cha tume kilichofuta uchaguzi.
 
Duh wee Mtaalamu utakuwa umetokea Oman maana majibu yako
Kama wale walio watawala kichwani.
Huko Tanganyika hatuta rudi na kama mnataka kuwa wakimbizi Ulaya au Umangani inabidi muende tu.
Msimsahau Tundu bovu Lissu
 
We kweli jina lako!
 
Sielewi kwa nini cuf kama wanaamini kuwa zec imekosea, si waende mahakamani ili haki ipatikane. Wanaogopa nini kwenda mahakamani?
hao mahikimu wameteuliwa na serikali ya ccm unafikiri watatenda haki,halafu tume ya uchaguzi haishitakiwa iko huru,serikali ya tz inamifumo mibaya ya utawala halafu wananchi wamenyamaza kimya ukiona hivyo wtz wengi ni mabogas balaa ndo maana hata chupi yanaagiza china!
 
“Tunamtaka Rais Magufuli kuonyesha uongozi wake kupitia mgogoro huu wa kisiasa kwa kuingilia kati na kutafuta usuluhishi baina ya vyama vikuu kuhakikisha amani pande zote,” MSEMAJI WA EU.JAMAA HAWAOMBI ILA WANAMTAKA.
 
Waajibeba
 
Vikwazo ni useless kwani misaada wanayotupa inatoka basi? ukiambiwa mkopo/msaada wa bilioni 600 utapewa bilioni 140 zingine zinarudi kwao kwa njia ya 'kutoa ushauri'. Wana akili hao wafadhili!
Mkuu hujui usemalo, Muulize Mugambe utam wa vikwazo, tunaweza kusema tuna dhahabu, national parks au hata kukusanya kodi na kutumia kwa uaminifu, haiwez saidia hata kidogo kwani hata kuuza ulicho nacho utazuiwa kuuza kwao, vikwazo ni balaa kwa nchi changa na maskini kama yetu, kama unabisha muulize putini na iran watakwambia ladha yake, kwa ufupi hatuna jeuri kwa sasa lazima tuhakikishe mgogoro wa Zanzibar unamalizika salama
 
Huwezi ifuta CUF labda ufute uraia wa zaidi ya nusu ya wazanzibar na watanganyika zaidi ya 20%, It is indispensable!!! Unalona kwa mtazamo finy sana. Serikali ya Majipu inajtahidi sana, lakni hil za Zanzbar, sijui waweza kumwondolea sifa zote Magu.
 
Nampenda Magufuli sababu ana ubavu wa kukusanya kodi ili Taifa lijiendeshe bila misaada hata hao wazungu wakitutisha wakae na misaada yao,tuwe km kny
 
Mimi naamini kuwa mahakama ina integrity yake. Kuna mechanism ya kufuatilia kuona kama haki inatendeka. Kama hakuna mechanism hiyo, tujue kuna tatizo kubwa linalohitaji ufumbuzi wa haraka, hata kuliko kuangaika na zec au Jecha.

CUF wameshaambiwa kwamba hata wakienda mahakamani haitasidia maana kesi itakuwa TIME Barred.Pole kwetu hapa Hakimu ni mwanaCCM,anafuata Mwenyekiti wake anavyosema ndivyo anatenda.Refer matamshi ya Magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…