Mtimti
JF-Expert Member
- Feb 23, 2008
- 942
- 647
uliyeleta huu uzi usiwatishe watu kwa kuiweka ugiriki kama ndio sababu ya ulaya kutokulipa....ugiriki inaeleweka kuwa nchi imefirisika mpk jumuiya ya ulaya wanataka kumtoa Kwenye umoja wao...ameshapewa sana pesa ili anyanyuke lkn mambo magumu tu
..huwezi kusema ulaya kugumu,kwanza unaposema kugumu unalinganisha na urahisi wa wapi?tanzania?...katika kupigana na maisha lazima kuwe na ugumu,hakuna urahisi tena hasa ukiwa ni mwanafunzi ndio maisha yanakuwa magumu sana hasa kwa hapa uingereza,lakini nataka kuwaambia kitu kimoja kuwa kila kitu ni kujipanga na kutumia akili tu.....ukiwa na karatasi zako maisha yanakuwa na nafuu na mepesi sana.
utaweza kusoma,kufanya kazi yoyote bila vizuizi...ila maisha ya ulaya(nnaposema ulaya namaanisha uk,German,France,Italy ,spain ,Holland)....yanataka discipline sio kujiachia na kujisahau
ushauri wangu kwenu ni kuwa ukipata chance ya kuja ulaya fanya hima usafiri,ila angalia unakwenda nchi gani,kuna nchi kibao zipo ulaya lakini wananchi wake wanawaza kuja uingereza..!..mi binafsi napaheshimu sana ulaya maana kumebadili maisha yangu na soon nafungua radio station yangu arusha...!
..huwezi kusema ulaya kugumu,kwanza unaposema kugumu unalinganisha na urahisi wa wapi?tanzania?...katika kupigana na maisha lazima kuwe na ugumu,hakuna urahisi tena hasa ukiwa ni mwanafunzi ndio maisha yanakuwa magumu sana hasa kwa hapa uingereza,lakini nataka kuwaambia kitu kimoja kuwa kila kitu ni kujipanga na kutumia akili tu.....ukiwa na karatasi zako maisha yanakuwa na nafuu na mepesi sana.
utaweza kusoma,kufanya kazi yoyote bila vizuizi...ila maisha ya ulaya(nnaposema ulaya namaanisha uk,German,France,Italy ,spain ,Holland)....yanataka discipline sio kujiachia na kujisahau
ushauri wangu kwenu ni kuwa ukipata chance ya kuja ulaya fanya hima usafiri,ila angalia unakwenda nchi gani,kuna nchi kibao zipo ulaya lakini wananchi wake wanawaza kuja uingereza..!..mi binafsi napaheshimu sana ulaya maana kumebadili maisha yangu na soon nafungua radio station yangu arusha...!