Ulaya pamenishinda narudi bongo

Status
Not open for further replies.
Aisee kaa ukouko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miezi mitatu Mbona midogo sana kukata tamaa. Pambana ukiwa na Imani. Me najuta kurudi bongo. Nilijifanya sitaki kujidhalilisha kufanya Kazi za mbuzi na kaelimu kangu, siwezi olewa na vibabu kisa karatasi...Ila Kwa Hali inavyobadilika kila siku bongo bora ningebaki Huko. Enzi za mkwere kweli kurudi bongo ilikuwa Tija Ila tuliorudi kipindi cha mzee jiwe tumebugii
 
Nakuona hapo kwenye video unashangilia maisha..
 
Hakuna sehemu Dunia hii pesa unaichota tu labda niambiwe kama ipo.... Maisha sio marahisi kiasi hicho.

Tukiwasimulia wengine tulikopita utadhani movie unaona bora uache tu uwasimulie wajukuu. Fuata hamu zako zikupelekako huwenda ndiko utaenda kufanikiwa.
 
Kaza mkuu mapema sana umekata tamaa toboa huko huko
 
Kubali au kataa,wacongo na warundi ndio watu rahisi kuoa na wana makaratasi halali kama una shida ya makaratasi.achana na wazungu.wote wamefulia ukimuomba mtu dola Mia anakublok.lakini amini nakwambia,ukichanganya na wacongo utapata mtu wa kukusaidia kila kitu kuanzia ramani mpka makao.trust me tena uongee kiswahili umewapata.achana na wazungu.watakupotezea muda wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kijana kaza moyo. Hutaruhusiwa kuondoka huko ughaibuni kwa sababu ya hili Coronavirus. Na hata ukufanikiwa, sisi leo ndo limeingia hapa nyumbani na hivyo utawekwa kwenye karantini kwanza. Uwe na siku njema.
 
Kwa hatua uliyofikia bora ukomae hukohuko mkuu, Bongo hapafai
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…