Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
sipati picha watoto ka hawa wajiachie hivi tandika
kibaka akimuona hadi mwili utakuwa unamsisimka
tatizo ikitokea kibaka anaweza akadhani ni set up!
Aaa wale jamaa wanawa kwapulia hata wanajeshi ati
i see,,,
jambo dada:love:
:A S angry:
vipi tena hashycool?
waingilia strategic areas za watu yakhee
lakini mbona yeye mwenyewe hajamind?
ok relax brokaka drop it! natetea maslahi. l.o.l