Ulaya hakuna wezi wa simu

vibaka wapo wengi tu..kwani ulaya ki2 gani bana? Ulayaa ulayaa, c mwende huko mkaajiriwe kuzibua sewage.!
 
Nani kakuambia? Wanaiba mpaka kinyesi cha biandamu kwa ajili ya......................................
....
....
....
....
....
....
....
....
....
....
....
....
....
....
....
mbolea na nishati.
 
vibaka wapo wengi tu..kwani ulaya ki2 gani bana? Ulayaa ulayaa, c mwende huko mkaajiriwe kuzibua sewage.!
Hapo umesema. Eti ulaya hakuna wezi wa simu. Huu ni uwendawazimu uliohitimu!
Nakumbuka kuna jamaa ahueni mmoja toka Ghana alishangaa kuona wazungu wanatema mate barabarani. "Aisee kumbe na wazungu huwa wanatema mate barabarani!" Naona majuha bado tupo wengi sana!
 
nani akwibe sim mamilion ya hela yapo online,unapanga tu afu unipiga cyber attack,bam u'r rich.
 
Hata London ndio wenyewe kwa wizi wa simu jamani hebu tuwe wakweli
 
NDVD_032-copy-800x450.jpg

Washua wamewategesha madogo jaribu kuwakaba uone muziki wake..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom