Nakumbuka bagia tu kati ya hizo, kijijini kwetu Ice-cream ilikuwa haijafika wakati huo, kwetu ilikuwa bakuli la kunde, muda wa mapumziko kulikuwa na wamama wanauza bakuli la kunde na togwa. Hahahahahha, CCM inataka turudi tena huko?
Mkuu hapo naona umesahau, Ufuta Mabumunda Sambusa za viazi, Half keki, Kashata, Mihogo ya kukaanga aka misuba Kaukau, Ubuyu, Ubuyu wa unga. Mabungo, Mengine nimesahau nitaongezea nikikumbuka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.