Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,402
- 5,527
Labda ni hayo mkuu... Variety za kisasa hzoSiku izi Kuna maharage ya kisasa yanajaza tumbo.
Duuu, mzuri hii mkuu.. pamoja sanaUkiona unapata maumivu baada ya kula maharagwe basi mara nyingi ni vidonda vya tumbo. Nenda kapime Hospitali. Pia kwa sasa kila baada ya kula maharage basi kula baking powder ambayo ni sodium bicarbonate kama nusu kijiko cha chai utajiskia sawa kwani inaondoa tindikali tumboni.
Sawa mkuuKama unayapika mwenyewe weka magadi
Inauzwa kwenye maduka ya dawa ya kawaida? na hayana madhara?Ukiona unapata maumivu baada ya kula maharagwe basi mara nyingi ni vidonda vya tumbo. Nenda kapime Hospitali. Pia kwa sasa kila baada ya kula maharage basi kula baking powder ambayo ni sodium bicarbonate kama nusu kijiko cha chai utajiskia sawa kwani inaondoa tindikali tumboni.
Ndio, huwa inatumika kuhoka mikate au maandazi.Inauzwa kwenye maduka ya dawa ya kawaida? na hayana madhara?
May be.. Ila kuanzia leo naachana maharagwe kabisaVidonda vya tumbo confirmed
Yale niliwahi kulaga kipindi Niko Dar..Tumia maharage meupe
Of course mkuu, itabidi nikucheck .. Maana nishaanza kuwa na wasiwasi na tumbo languYale niliwahi kulaga kipindi Niko Dar..
But mazingira ya huku it is very scarce