Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,384
- 5,509
Jamani nipo Huku kwa wangoni kjiji fulani kama week plus, ila kutokana na mazingira inanibidi nitumie maharagwe everyday kama mboga kuu kwa haya maeneo kiukweli haziishi Siku mbili lazima nipige maharagwe.
Sasa tatizo najiona tumbo limeaanza kujaa gas sometime linauma hasa nyakati za usiku, nikienda haja hakuna ninachopata kabisa zaidi ya gas tu.
Daaaah, aiseeh nilikuwa sijui ghadhabu ya maharagwe uki-overeat namna hii na kuanzia Leo naacha kula maharagwe.
Poleni sana wanafunzi wa bweni huko mashuleni
Sasa tatizo najiona tumbo limeaanza kujaa gas sometime linauma hasa nyakati za usiku, nikienda haja hakuna ninachopata kabisa zaidi ya gas tu.
Daaaah, aiseeh nilikuwa sijui ghadhabu ya maharagwe uki-overeat namna hii na kuanzia Leo naacha kula maharagwe.
Poleni sana wanafunzi wa bweni huko mashuleni