mi_mdau
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,104
- 1,476
Mercedes benz c class w204 yenye M271 engine ina ulaji mbaya wa mafuta (high fuel consumption), inakula kati 6.5-7.2km/litre mjini.
Nimefanya au kucheki vifuatavyo:
Diagnosis (hakuna error au tatizo limeonekana kwenye engine au gearbox au components zinazoendana na hiyo mifumo, hata values ziko poa)
Service (engine oil, filter, air filter, ac filter)
Plugs zimebadilishwa
Alignment, tyre pressure pia iko sawa
alternator pulley haiko sawa ni ya kubadili ila bado haijabadilishwa (sina hakika kama hii ni sababu au la!)
Sijagusa oxygen sensor wala MAF sensor sababu mashine haijasoma chochote ila forums huko mbele kuna mtu alisema ilileta mabadiliko makubwa baada ya kubadili MAF sensor.
Msaada please kwa mtu mwenye idea au uzoefu wa kitu kama hiki kabla sijachokonoa gari
Nimefanya au kucheki vifuatavyo:
Diagnosis (hakuna error au tatizo limeonekana kwenye engine au gearbox au components zinazoendana na hiyo mifumo, hata values ziko poa)
Service (engine oil, filter, air filter, ac filter)
Plugs zimebadilishwa
Alignment, tyre pressure pia iko sawa
alternator pulley haiko sawa ni ya kubadili ila bado haijabadilishwa (sina hakika kama hii ni sababu au la!)
Sijagusa oxygen sensor wala MAF sensor sababu mashine haijasoma chochote ila forums huko mbele kuna mtu alisema ilileta mabadiliko makubwa baada ya kubadili MAF sensor.
Msaada please kwa mtu mwenye idea au uzoefu wa kitu kama hiki kabla sijachokonoa gari