Ukwepaji kodi wa Bhakressa!

Ukwepaji kodi wa Bhakressa!

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Kuna taarifa kwamba ukwepaji kodi wa BAKHRESA and group unachangiwa kwa kiasi kikubwa na baadhi ya vigogo wa CCM wanaonufaika na huyu mfanyabiasha.

Inasemeka biashara zake za vyakula na maboti ya usafiri hazilipi kodi inavyotakiwa na serikali imekaa kimyaaa.

Karibuni wakuu.
 
kuna taarifa kwamba ukwepaji kodi wa BAKHRESA and group aka azam unachangiwa kwa kiasi kikubwa na baadhi ya vigogo wa ccm wanaonufaika na huyu mfanyabiasha. yasemeka biashara zake za vyakula na maboti ya usafiri hazilipi kodi inavyotakiwa na serikali imekaa kimyaaa. karibuni wakuu.

kodi hiyo kaanza kukwepa lin??

ha ha ha ha

weka ushahid wako tuone ukweli wa hicho unachokisema

MITANZANIA BANA,,WEWE WAKWEPA KOJI WA NCHI HII HUWAJUI??

BADALA YA KUKAA NA KUSHUKURU KWA WAZAWA KAMA HAWA KUPATA MAFANIKIO YA KUSAIDIA TAIFA HILI IKIWEMO NA AJIRA WEWE UNAPIKA MAJUNGU

UTAPIKA SANA MAJUNGU NA MWISHO UTAJIPIKA WEWE MWENYEWE.

:heh: :heh: :heh: :rockon:
 
kuna taarifa kwamba ukwepaji kodi wa BAKHRESA and group aka azam unachangiwa kwa kiasi kikubwa na baadhi ya vigogo wa ccm wanaonufaika na huyu mfanyabiasha. yasemeka biashara zake za vyakula na maboti ya usafiri hazilipi kodi inavyotakiwa na serikali imekaa kimyaaa. karibuni wakuu.
Hawa si ndio wale wale jama wa ccm kama baba na mwana
 
kuna taarifa kwamba ukwepaji kodi wa BAKHRESA and group aka azam unachangiwa kwa kiasi kikubwa na baadhi ya vigogo wa ccm wanaonufaika na huyu mfanyabiasha. yasemeka biashara zake za vyakula na maboti ya usafiri hazilipi kodi inavyotakiwa na serikali imekaa kimyaaa. karibuni wakuu.
Umejiunga juzi tu una posts zaidi ya 300. Nyingi ya pointi hizo ni pumba tu
 
kodi hiyo kaanza kukwepa lin??

ha ha ha ha

weka ushahid wako tuone ukweli wa hicho unachokisema

MITANZANIA BANA,,WEWE WAKWEPA KOJI WA NCHI HII HUWAJUI??

BADALA YA KUKAA NA KUSHUKURU KWA WAZAWA KAMA HAWA KUPATA MAFANIKIO YA KUSAIDIA TAIFA HILI IKIWEMO NA AJIRA WEWE UNAPIKA MAJUNGU

UTAPIKA SANA MAJUNGU NA MWISHO UTAJIPIKA WEWE MWENYEWE.

:heh: :heh: :heh: :rockon:

mkuu mbooa unatoa povu unahusika nini hapa?
 
kodi hiyo kaanza kukwepa lin??

ha ha ha ha

weka ushahid wako tuone ukweli wa hicho unachokisema

MITANZANIA BANA,,WEWE WAKWEPA KOJI WA NCHI HII HUWAJUI??

BADALA YA KUKAA NA KUSHUKURU KWA WAZAWA KAMA HAWA KUPATA MAFANIKIO YA KUSAIDIA TAIFA HILI IKIWEMO NA AJIRA WEWE UNAPIKA MAJUNGU

UTAPIKA SANA MAJUNGU NA MWISHO UTAJIPIKA WEWE MWENYEWE.

:heh: :heh: :heh: :rockon:

Hana nyaraka wala nini ameshasema inasemekana maana yake hana hili wala lile hahaaha anataka tuanze story za vijiweni
 
Umejiunga juzi tu una posts zaidi ya 300. Nyingi ya pointi hizo ni pumba tu

mkuu tulia tukujadili hapa. ukweli bakresa uwa anaisaidia pesa serikali pindi inapopigika so ni suala la kulipana fadhila tu hapa
 
Sasa Mengi anaingiaje hapa?Au kwa vile ITV wamekua wakirusha midahalo ya Warioba?

Halafu ujifunze kuheshimu jinsia ya Kike sio kui-associate na mambo ya ajabu ajabu.Hujakomaa vizuri,huna ustaarabu wala maadili kwa hali hii

CC: Dc Kinondoni

Asante
 
Back
Top Bottom