Wow mkuu Sana
Chabruma umerudi??
Habari za kazi na masahibu mengi?
Ktk sakata la ESCROW hakuna nisichokijua maana mie ni miongoni mwa vidagaa tunaohangaishwa maofisini kuziba matundu boma lisibomoke....
Mimi naangalia kweli... Kweli tupu ndio maana siangalii nasaba...imani au itikadi ya MTU ktk utoaji Wa maoni isipokuwa content....
Swali la kizushi: Kama hili suala ni jepesi na la kitoto mbona ripoti haiwekwi hadharani?
Kama ni jepesi hivyo tunahangaika nini kiasi cha kukosa usingizi kutafuta Huruma ya wafadhili?
Hizi danadana za nini?