Mapondela
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 454
- 83
hata alipokaa juu ya paa na vyombo vya habari kuandika pia ilikua ya upended mmoja. Huyu mkopaji ni msanii huto kaa upate habari kutukana kwake. Tulichangia habari hii wengine ikapigwa ban toka mwanzo ilionyesha ni usanii mtupuIf Lions could speak....
Hii story imekaa upande mmoja tu wa kumshtumu huyo mama na kuonesha TIB na Msama wako sahihi.
Ningependa kusikia pia upande wa wenye nyumba unasemaje