Rashda Zunde
JF-Expert Member
- May 28, 2022
- 291
- 281
- Thread starter
- #21
Endelea kubisha, lakini huu ndio ukweli.Uongo mkubwa hakuna kitu kama hicho
Endelea kubisha, lakini huu ndio ukweli.Uongo mkubwa hakuna kitu kama hicho
Atakua ndio yule Mwasi D. KIMANIAnataka tu kutuchanganya huyu
Endeleeni kubisha wakati huu ndio ukweliAnataka tu kutuchanganya huyu
Mwasi inatosha tushakuelewa ila majina ni matatu sio mojaEndelea kubisha, lakini huu ndio ukweli.
Tumekuelewa Mwasi Kimani ila majina ni matatuEndeleeni kubisha wakati huu ndio ukweli
Kwa nini alikuwa mwinyi?
Tumuulize Maria Sarungi na Mange Kimavi maana wao wanasema Mgombea aligoma kutoka hata Kibajaji alipoomba akagomewa na kuwa eti hakukua na uchaguzi. Ukweli ndio huo wametahayari wote na wamebaki kutoa macho tu na kushangaa.ya lini hii? kuna mja anakataa kutoka
Hatokuwepo kwenye OrodhaOktoba tuna tiki Samia.
Clip ipo na aligoma kutoka usiwe mbishiTumuulize Maria Sarungi na Mange Kimavi maana wao wanasema Mgombea aligoma kutoka hata Kibajaji alipoomba akagomewa na kuwa eti hakukua na uchaguzi. Ukweli ndio huo wametahayari wote na wamebaki kutoa macho tu na kushangaa.
Mgombea alitoka na kila mtu alikuwa na haki ya kueleza msimamo wake kukataa au kukubali. Walio wengi walishinda na akathibitishwa na Mkutano Mkuu.
CHADOMO na lile kundi linaloona kuwa Mh Samia hawezi kuwa Raisi waje na Santuri nyingine hii imebuma mapema sana.
Usajili wa Pole Pole kama ilivyojina lake umekuwa na matokeo ya Pole pole sana na umeshindwa kutoa matokeo ya haraka.
Ile clip walikuwa wanajadili utekelezaji wa ilani ya CCM na akasema kuwa hatotoka maana yeye ndio mwenyekiti na mtelelezaji Mkuu wa Ilani. Kama kumnanga kwa kushindwa basi wajumbe wafanye hivyo mbele yake na si vinginevyoClip ipo na aligoma kutoka usiwe mbishi
Km hujui kitu unauliza.Tumuulize Maria Sarungi na Mange Kimavi maana wao wanasema Mgombea aligoma kutoka hata Kibajaji alipoomba akagomewa na kuwa eti hakukua na uchaguzi. Ukweli ndio huo wametahayari wote na wamebaki kutoa macho tu na kushangaa.
Mgombea alitoka na kila mtu alikuwa na haki ya kueleza msimamo wake kukataa au kukubali. Walio wengi walishinda na akathibitishwa na Mkutano Mkuu.
CHADOMO na lile kundi linaloona kuwa Mh Samia hawezi kuwa Raisi waje na Santuri nyingine hii imebuma mapema sana.
Usajili wa Pole Pole kama ilivyojina lake umekuwa na matokeo ya Pole pole sana na umeshindwa kutoa matokeo ya haraka.
Amesema hapo kwenye hiyo clip kuwa ni mgombea wa urais wa chama cha mapinduzi. Unadhani kuna wakuokotwa kirahisi hivyo? Mwinyi pia alikuwa mgombea wa urais wa Zanzibar, alibaki kufanya nini?
Iweke hiyo clip iwe ya dakika 10, tano kabla ya clip hii, na tano baada ya hii clip. Msikate popote tuone wakijadili kuwa ni uchaguzi mgombea wa urais.Tumuulize Maria Sarungi na Mange Kimavi maana wao wanasema Mgombea aligoma kutoka hata Kibajaji alipoomba akagomewa na kuwa eti hakukua na uchaguzi. Ukweli ndio huo wametahayari wote na wamebaki kutoa macho tu na kushangaa.
Mgombea alitoka na kila mtu alikuwa na haki ya kueleza msimamo wake kukataa au kukubali. Walio wengi walishinda na akathibitishwa na Mkutano Mkuu.
CHADOMO na lile kundi linaloona kuwa Mh Samia hawezi kuwa Raisi waje na Santuri nyingine hii imebuma mapema sana.
Usajili wa Pole Pole kama ilivyojina lake umekuwa na matokeo ya Pole pole sana na umeshindwa kutoa matokeo ya haraka.
Km hujui kitu unauliza.
Kwenye mkutano wao aliopitishwa km mgombea urais na kikwete aligoma kutoka.
Jamaa liongo sana hapo ilikuwa uvhaguzi wa mwenyekiti wa chama siyo uchaguzi wa raisi.Uongo mkubwa hakuna kitu kama hicho