Ukweli ni kwamba Magufuli alikataa kata kata boti za Azam kwenda ziwa Victoria

Bakhresa alitaka kuweka meli victoria ili ifanye kazi kati ya mwanza na bkb lkn magufuli akiwa waziri wa ujenzi alikataa kata kata meli hiyo isafirishwe kwa njia ya barabara akidai itaharibu barabara

Kweli nimegundua JF sasa imevamiwa na watoto au watu wasiojitambua kwa kufanya uchunguzi,, boti zilikuwa za dewji na sio bakhresa, boti zilifika mpaka Mwanza kwa kupitia kenya, boti zilifanya kazi kwa muda fulani zikashindwa kufanya kazi ziwani, ziwa tofauti na bahari, unahitaji propelling force kubwa ziwani kuliko bbaharini,, pia hazikuwa meli bali ni boti,, ukweli ni kwamba zisingeweza kupita kwenye madaraja yetu, walitakiwa wazibomoe ndio wazisafirishe,wakaona gharama itakuwa kubwa upande wao wakaamua kuzipitishia kenya,, MH MAGUFURI na mtu mmoja anaitwa fungameza walionyesha uadirifu wa hali ya juu kwenye hili,, bwana fungameza alikataa dola 1000000,, KIJANA FANYA UCHUNGUZI UINGIAPO KWENYE KILA MJADALA, USIWE KAMA AKINA YERICKO NYERERE..
 
Bakhresa alitaka kuweka meli victoria ili ifanye kazi kati ya mwanza na bkb lkn magufuli akiwa waziri wa ujenzi alikataa kata kata meli hiyo isafirishwe kwa njia ya barabara akidai itaharibu barabara

Mimi ni mwana ukawa kindakindaki ila kwa hili nampa support magufuli kuna uwezekano kabisa kwamba lingeharibu barabara
 
Bakhresa alitaka kuweka meli victoria ili ifanye kazi kati ya mwanza na bkb lkn magufuli akiwa waziri wa ujenzi alikataa kata kata meli hiyo isafirishwe kwa njia ya barabara akidai itaharibu barabara

Sio Bakhresa bana, ni Azim Dewji ndo alipeleka hizo boat. Ila zilifanya kazi muda mfupi zikaanza kuzingua na kuzimika ovyo majini
 
Bakhresa alitaka kuweka meli victoria ili ifanye kazi kati ya mwanza na bkb lkn magufuli akiwa waziri wa ujenzi alikataa katta kata meli hiyo isafirishwe kwa njia ya barabara akidai itaharibu barabara

Tatizo team lowassa ni waongo! Waongo kuanzia mgombea hadi washabiki wote na hii ni miongoni mwa sababu Watanzania tusiwaamini.
Ni lini Bakhresa alitaka kupeleka Meli ziwa Victoria akakataliwa? Kama hamna la kuongea kaeni kimya.
Na kama Boat za Dewji mbona zilifika Lake victoria na zilifanya kazi na kuzuiwa na mamlaka ya usafirishaji kwa ubovu. Hapo Magufuli anahusika vipi?
 
vijana wa it masaki ccm mnafurahisha sana hamuoni makufuri wenu alipokuwa anahutubia kuwa ataleta meri kubwa hata wanaccm wenyewe walikuwa hawashangilii kabisa
 
Bakhresa? Kweli shule za kata zina mambo.

Amekosea tu jina lakini I think he has a point to discuss. Hata mimi amenikumbusha hili la Magufuli kuzuia parts za meli zisipitishwe barabarani na walitofautiana misimamo mawaziri wa Ujenzi (Magufuli) na wa Uchukuzi (Mwandosya)
 
Bakhresa alitaka kuweka meli victoria ili ifanye kazi kati ya mwanza na bkb lkn magufuli akiwa waziri wa ujenzi alikataa kata kata meli hiyo isafirishwe kwa njia ya barabara akidai itaharibu barabara

Acha Ulongo wewe..... Aliyetaka kupeleka Meli alikuwa ni Dewji na ilibidi azipitishie Kenya na zilifika Mwanza zikaunganishwa hadi sasa bado zipo ziwani tatizo zimekuwa na matatizo ya hapa na pale nadhani zimepaki tu... hiyo issue ilivuma hadi ikaisha sijui ulikuwa uananyonya bado...!
 
Amekosea tu jina lakini I think he has a point to discuss. Hata mimi amenikumbusha hili la Magufuli kuzuia parts za meli zisipitishwe barabarani na walitofautiana misimamo mawaziri wa Ujenzi (Magufuli) na wa Uchukuzi (Mwandosya)

kasome tena taarifa. ugomvi wa magufuli na dewji ilikuwa ni boti yote nzima kama ilivyo ipitiswe kwenda mwanza na sio parts maana yeye alisema ukitaka kupitisha hapa Tanzania ikatekate kisha ukifika mwanza uinganishe tena
 
kasome tena taarifa. ugomvi wa magufuli na dewji ilikuwa ni boti yote nzima kama ilivyo ipitiswe kwenda mwanza na sio parts maana yeye alisema ukitaka kupitisha hapa Tan@zania ikatekate kisha ukifika mwanza uinganishe tena
Sawa kabisa,UKAWA wanaparamia mambo.wangetaka ipelekwe meli kwa kuvunja vunja madaraja na kuharibu barabara
 
tatizo mnaokota maneno halafu mnakuja kulisha watu kwanza hizo meli hazikuwa za bakhresa zilikuwa za azim dewji pili hazikuzuiwa kufanya kazi ziwa victoria bali zilizuiwa kusafirishwa kwa barabara kwani zingeleta uharibifu mkubwa lakini pamoja na kupitishwa kupitia kenya zilishindwa kufanya kazi
 
Kwa mnaokumbuka hili sakata lilifika mbali na prof. Mwandosya mtaalam akaeleza hali halisi hakuna shida yoyote ya kutumia meli hiyo kupelekwa ziwa Victoria kupitia kenya

Swali langu; Mgombea urais mnaweza kutueleza sababu za kuzuia hii meli ya Bakheresa kufika ziwa Victoria leo hii wananchi wanateseka na mbaya mnaendelea kuwadanganya wananchi Bukoba - Mwanza mnaleta meli .Hiili meli gani linaahaidiwa toka Mkapaa,akaja mwenzie na sasa wewe unakuja na nyimbo hiyo hiyo.
.
Hapana wananchi wa Kanda ya Ziwa semeni no kwa CCM.

Pigieni kura Lowassa tulete mabadiliko ya nchi hii,nchi bila mabadiliko ahadi zote mnazopewa watarudi 2020 kuomba tena kura kwa ahadi hizo hizo

Sema no CCM

Vote for Lowassa vote for UKAWA

M4C daima.

We Nyang'au hebu rudi tena darasani ukasome. Kwa taarifa yako kilichotokea ni Magufurl kukataa hiyo meli kupitishwa barabarani kutokana na ukubwa na uzito wake. Ndipo ilipitishiwa Kenya hadi Kisumu. Na mungu alivyo na maajabu, meli hiyo nusura iue abiria baada ya kuzimika ziwani kwa masaa manane. Ndo ikaegeshwa hadi leo haijatembea tena. Pia kwa taarifa yako, hiyo haikuletwa na Bakhresa bali ililetwa na Azim Dewji wakati ulikuwa bado unakunywa gongo huko Migombani.
 
Bakhresa alitaka kuweka meli victoria ili ifanye kazi kati ya mwanza na bkb lkn magufuli akiwa waziri wa ujenzi alikataa kata kata meli hiyo isafirishwe kwa njia ya barabara akidai itaharibu barabara

Bakhresa hajawahi kutaka kupeleka meli ziwa victoria. Aliyetaka kupeleka ni mhindi Azim na aliweza kupeleka kupitia kenya ila zilishindwa kufanya kazi zipo zimepaki pale mwanza toka zipelekwe. Kwa kifupi ni mbovu zilishindwa kufanya kazi.
Magufuli alikuwa sawa kukataa kwa kuangalia hasara ambayo ingepatikana.
 
Bakhresa hajawahi kutaka kupeleka meli ziwa victoria. Aliyetaka kupeleka ni mhindi Azim na aliweza kupeleka kupitia kenya ila zilishindwa kufanya kazi zipo zimepaki pale mwanza toka zipelekwe. Kwa kifupi ni mbovu zilishindwa kufanya kazi.
Magufuli alikuwa sawa kukataa kwa kuangalia hasara ambayo ingepatikana.

Achana na huyo dogo mnywa Viroba.
 
tatizo mnaokota maneno halafu mnakuja kulisha watu kwanza hizo meli hazikuwa za bakhresa zilikuwa za azim dewji pili hazikuzuiwa kufanya kazi ziwa victoria bali zilizuiwa kusafirishwa kwa barabara kwani zingeleta uharibifu mkubwa lakini pamoja na kupitishwa kupitia kenya zilishindwa kufanya kazi

Mkuu hawa jamaa washazoea ndio mzee kwa hyo lolote linalokatiza vichwani mwao ndo hilo,hajui hata asemalo
 
Hakauna tofauti ya kisera kati ya ccm na cdm ni baba 1 mama 1

we kweli kilaza! tofauti kisera kivipi wakati wote tunashughulikia matatizo yaleyale yanayolikabili taifa moja(tanzania yetu) utofauti upo katika utekelezaji ccm umeshampa miaka 54 ya kufanya anayoahidi leo kwani uliipa CHADEMA dhamana ya kuteleleza sera zake ili kuona wapo sawa na ccm?
 
Umeanza kufuatilia mambo ya nchi hii lini?
Kama hujui kuna meli ilizuiliwa kupelekwa ziwa Victoria na kisingizio kimojawapo ni uharibifu wa barabara, pole sana kama ulikuwa haujui.
Meli gani ya Bakhresa? Au ndio yaleyale alioyasema Shoza kuhusu low intellect.
 
Hizo ndizo Ahadi za Serikali ya CCM. Nyingi hazikutekelezeka!

* Tutaleta Meli nzuri Ziwa Victoria: Hakuna Meli mpaka sasa;
* Meli nzuri Ziwa Tanganyika: Bado kuna mv. Liemba yenye umri wa Miaka 100;
* Meli kubwa ya Kisasa, Ziwa Nyasa: Hakuna kitu;
* Reli ya Kati kuboreshwa: Hakuna kitu;
* Wakulima hawatokopwa: Mpaka sasa wanalipwa Karatasi na wanateseka na ulaghai wa "Stakabadhi Ghalani ne Bei ya Korosho, Pamba, Kahawa, puu...chini!;
* Tutafufua Viwanda vilivyokufa na kujenga vingi vya kusindika Mazao: Hamna kitu (vya kubangua Korosho vimegeuzwa Maghala; hata cha Baiskeli Mwenge, hakipo tena, tunaagiza Baiskeli Mitumba kutoka China; Machine Tools, Moshi kimekufa; UFI, cha Zana za Kilimo, kimegeuka cha Mabomba Makubwa na tunaaagiza Zana kutoka Kenya, China; cha Uvuvi TAFICO, kimekufa);
* Tutafufua ATC: Kikowapi?;
* Dawa zitajaa zahanati na Hospitalini: Wapi? Tunanunua Famasi!;

TAFAKARI, CHUKUA HATUA OKT. 25!

Tanga waliambiwa litakuwa jiji la viwanda, tuliambiwa matibabu wazee na watoto bure, aliahidi atajenga hospital ya rufaa kila mkoa, aliahidi vyuo vikuu mikopo haitazingua, aliahidi kumaliza migogoro ya wakulima na wafugaji kwa kutenga maeneo maalum ya wafugaji, aliahidi kudeal na rushwa kubwa kubwa na kupitia upya mikataba ya madini ili tunufaike, aliahidi maisha bora kwa kila mtanzania. YOTE HAYO NA MENGINE MENGI HOLA.
 
Back
Top Bottom