Ukweli ni kwamba wanaume wote wanaamini kuwa watoto waliozaa na wake zao no wao lakini ukweli wanaujua wanawake
Wanaume tunaishi kwa imani ambayo inaweza kua kweli au uongo ila wanawake wote wanaishi kwenye ukweli kuhusu watoto
Kama nadaganya mwanaume mkaripie mwanao alafu mkeo akwambie niachie mwanangu Kwanza baba ake sio wew uone kama ndoa haijavunjika sijui
Lakini mwanamke na amkaripie mtoto umwambie niachie mwanangu kwanza mama ake sio kama hujapelekwa milembe. Shkamooni wanawake wooote
Wanaume tunaishi kwa imani ambayo inaweza kua kweli au uongo ila wanawake wote wanaishi kwenye ukweli kuhusu watoto
Kama nadaganya mwanaume mkaripie mwanao alafu mkeo akwambie niachie mwanangu Kwanza baba ake sio wew uone kama ndoa haijavunjika sijui
Lakini mwanamke na amkaripie mtoto umwambie niachie mwanangu kwanza mama ake sio kama hujapelekwa milembe. Shkamooni wanawake wooote