Ukweli mchungu: Vijana wengi wanaohitimu VETA wapo vizuri zaidi ya wahitimu wa vyuo vikuu

themagnificient

JF-Expert Member
Dec 13, 2016
988
3,318
Mada hii inagusa kwenye fani za ufundi hasa kwa wahitimu wa fani za
•Mechanical Engineering
•Civil Engineering
•Electrical Engineering

Wahitimu wengi wa vyuo vikuu wanaosomea fani hizi huwa ni weupe kichwani lakini wana vyeti vyao.

Naongea hayo kwasababu mimi nimesomea Civil engineering hata Tz na nkaenda kusomea mechanical Engineering pia South Africa kitambo kidogo, hivyo nnafanya kazi kwenye kampuni moja ya wazungu.

Huwa wanaajiri wahitimu wa Fani za engineering kutoka vyuo vikuu na wahitimu wa fani za ufundi kutoka veta, lakini cha kushangaza vijana wengi tunaowapokea kutoka veta wana vichwa vyepesi na wapo vizuri sana hasa kwenye fani za mechanical na Electrical

Unakuta mtu ana cheti cha mechanical engineering ,Electrical Engineering baada ya kuajiriwa anaomba eti afundishwe kazi , sasa unajiuliza huyu mtu chuoni alikuwa anasomea nini?,

Tofauti na vijana wengi wa veta wanaopokelewa hapa kwanza hawanaga makuu alafu vijana wanapiga kazi na pia wana vichwa vyepesi hadi hawa wazungu huwa wanashangaa iweje mtu mwenye elimu ya Bachelor Degree azidiwe ujuzi na mtu mwenye cheti cha ufundi tu.

Alafu sasa wengi wao mtu akishajiona ana Bachelor Degree tu, anataka kukaa ofisini na Kuongoza wengine, lakini kichwani hamna kitu, mtu unakuta anaajiriwa kama Electrical Engineer lakini hamna chochote anachojua zaidi ya kuwa na vyeti vyake tu mikononi, hadi tunajiulizaga pale ofisini huwa wanapass vipi mitihani huko vyuoni wakati ni weupe vichwani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mada hii inagusa kwenye fani za ufundi hasa kwa wahitimu wa fani za
•Mechanical Engineering
•Civil Engineering
•Electrical Engineering

Wahitimu wengi wa vyuo vikuu wanaosomea fani hizi huwa ni weupe kichwani lakini wana vyeti vyao.

Naongea hayo kwasababu mimi nimesomea Civil engineering hata Tz na nkaenda kusomea mechanical Engineering pia South Africa kitambo kidogo, hivyo nnafanya kazi kwenye kampuni moja ya wazungu.

Huwa wanaajiri wahitimu wa Fani za engineering kutoka vyuo vikuu na wahitimu wa fani za ufundi kutoka veta, lakini cha kushangaza vijana wengi tunaowapokea kutoka veta wana vichwa vyepesi na wapo vizuri sana hasa kwenye fani za mechanical na Electrical

Unakuta mtu ana cheti cha mechanical engineering ,Electrical Engineering baada ya kuajiriwa anaomba eti afundishwe kazi , sasa unajiuliza huyu mtu chuoni alikuwa anasomea nini?,

Tofauti na vijana wengi wa veta wanaopokelewa hapa kwanza hawanaga makuu alafu vijana wanapiga kazi na pia wana vichwa vyepesi hadi hawa wazungu huwa wanashangaa iweje mtu mwenye elimu ya Bachelor Degree azidiwe ujuzi na mtu mwenye cheti cha ufundi tu.

Alafu sasa wengi wao mtu akishajiona ana Bachelor Degree tu, anataka kukaa ofisini na Kuongoza wengine, lakini kichwani hamna kitu, mtu unakuta anaajiriwa kama Electrical Engineer lakini hamna chochote anachojua zaidi ya kuwa na vyeti vyake tu mikononi, hadi tunajiulizaga pale ofisini huwa wanapass vipi mitihani huko vyuoni wakati ni weupe vichwani


Sent using Jamii Forums mobile app
Mind, VETA ni see and do... VETA graduates are informed while engineers are knowledgeable! ! nadhani umenielewa!
 
Ni sawa na kusema manesi wako vizuri kuliko madaktari, inaweza ikawa kweli upande wa kuhudumia wagonjwa lakini kwa mambo ya kitabibu iko wazi.
We unataka engineer aache kufanya kazi zake akachomelee? halafu umlinganishe na VETA useme anamzidi? we kilaza kweli nna wasiwasi south ulienda VETA pia
 
Mind, VETA ni see and do... VETA graduates are informed while engineers are knowledgeable! ! nadhani umenielewa!
Yaani huyo mleta Mada namshaangaa, yaani anamaanisha kuwa muhitimu wa VETA anaweza kutufafanulia kinaga ubaga, kwanini, chaji ya simu upata moto sana wakati wa kuchaji simu (hasa chaji za 'fake')!?? Muhitimu hiyo anaweze kuja na mbinu ya kitaalamu kwa kuonyesha namna aligundua ukubwa wa chanzo cha chaji kupata joto sana wakati wa kuchaji simu na namna bora ya kupunguza ama kuzuia kabisa tatizo hilo??
----
Tuheshimu 'vyeti' vya watu jamani.
 
Ni sawa na kusema manesi wako vizuri kuliko madaktari, inaweza ikawa kweli upande wa kuhudumia wagonjwa lakini kwa mambo ya kitabibu iko wazi.
We unataka engineer aache kufanya kazi zake akachomelee? halafu umlinganishe na VETA useme anamzidi? we kilaza kweli nna wasiwasi south ulienda VETA pia
Alichomaanisha si kulinganisha kazi zao! Ni kuwa wahandisi wanaotoka vyuoni sasa hivi ni weupe hata kwa mjukumu yanayowahusu moja kwa moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani huyo mleta Mada namshaangaa, yaani anamaanisha kuwa muhitimu wa VETA anaweza kutufafanulia kinaga ubaga, kwanini, chaji ya simu upata moto sana wakati wa kuchaji simu (hasa chaji za 'fake')!?? Muhitimu hiyo anaweze kuja na mbinu ya kitaalamu kwa kuonyesha namna aligundua ukubwa wa chanzo cha chaji kupata joto sana wakati wa kuchaji simu na namna bora ya kupunguza ama kuzuia kabisa tatizo hilo??
----
Tuheshimu 'vyeti' vya watu jamani.
Mkuu acha unafki toa ushahidi uvumbuzi uliofanyika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom