Ukweli mchungu: Tanzania is NOT catching up to Kenya

Shida Kenya ni Mali ya kenyatta n'a wazungu raia wengine wote ni watumwa tuu. Ila Tanzania ni ya kila mtanzania
 
Shida Kenya ni Mali ya kenyatta n'a wazungu raia wengine wote ni watumwa tuu. Ila Tanzania ni ya kila mtanzania
Tazama ng'ombe ingine kimawazo, kukurupuka tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ sasa Tanzania ilivyo ya kila mtanzania ina maana ni nchi masikini mno! Tazama mazao ya nchi ya kila mtanzaniaπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ numbers never lie!
2618860_PhotoGrid_1605162481588.jpg
 
Ona sasa ulivyo fukara kimawazo na elimu kama wenzako The best 007 na Ichoboy01πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., nikisema mko na low mental structure to reason beyond face value mnakasirikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ #teamlowIQ
Pedestrian reasoning kishenziπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ sasa kwa vile marekani wako na deni la over 120% of the GDP nikitumia hizo fikra zako za kiajabu, ni mtu alie na 1000 kisha deni lake ni 1200, ina maana yeye itabidi akope ili alipe deni kisha ajimudu, hana lolote kabisaaa! Na Japan je? (200% of the GDP)πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ basi Tanzania iko nafuu sana zaidi ya marekaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mko ovyo kishenzi KWA KILA KITU, KUANZIA FIKRA NA GROUND! Napenda mnavyo jaribu kujikweza.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
LOL katikati GDP yenu ya makaratasi ya billion 99,deni lote la Taifa ni billion 65 πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Na bado katika wakenya watatu, wawili kati yao wanakunya mitaroni πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
2619765_20201119_213805.jpg
 
LOL katikati GDP yenu ya makaratasi ya billion 99,deni lote la Taifa ni billion 65 πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Na bado katika wakenya watatu, wawili kati yao wanakunya mitaroni πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…View attachment 1630360
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ see your life! Unalazimisha mambo kisa huna jibu loloteπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, Tanzania ya sasa will remain poor for decades, wewe ndio best brain humuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.,
 
member budget ya education Ni sawa na nusu ya budget yenu ya Kila kitu,
Na hakuna grants hapo.
Nyinyi ata major ministry like education Ni donation tupu!
Heshimu watoto wenu.
Serikali yao is flourishing on their stupidity and ignoranceπŸ˜‚πŸ˜‚ wamelishwa propaganda deadly! They are idiots of Africa. How can u have such a country and be among the leading in extreme poverty??? Balaaa!
 
Serikali yao is flourishing on their stupidity and ignorance wamelishwa propaganda deadly! They are idiots of Africa. How can u have such a country and be among the leading in extreme poverty??? Balaaa!

si propaganda ni ukweli tu.nchi ya $99bln na pop ya 49 ml haina vyooo
IMG_0482.jpg
 
Ona sasa ulivyo fukara kimawazo na elimu kama wenzako The best 007 na Ichoboy01., nikisema mko na low mental structure to reason beyond face value mnakasirika #teamlowIQ
Pedestrian reasoning kishenzi sasa kwa vile marekani wako na deni la over 120% of the GDP nikitumia hizo fikra zako za kiajabu, ni mtu alie na 1000 kisha deni lake ni 1200, ina maana yeye itabidi akope ili alipe deni kisha ajimudu, hana lolote kabisaaa! Na Japan je? (200% of the GDP) basi Tanzania iko nafuu sana zaidi ya marekani mko ovyo kishenzi KWA KILA KITU, KUANZIA FIKRA NA GROUND! Napenda mnavyo jaribu kujikweza.
Yani sijui ni lini akili yako itakuwa na kuacha kuwaza kama mjinga? Ivi ww na uzwazwa wako unajua mchanga wa uchumi wa izo nchi mbili duniani ? Takataka km kunya haipwaswi hata kuzid 70% ya GDP ....izo nchi uchumi wao ukiyumba ujue a dunia inayumba ...sasa nyie mko broke saa hii na hata S. Sudani haishtuki....fikiri kabla ya kuropoka uharo
 
Declaration of interest.
Mimi ni Mtanzania na ninaipenda sana nchi yangu. Ninafanya shughuli zangu ndani ya TZ na Kenya. Naeleza kile nilichokishuhudia kwa macho yangu.
Kenya kiuchumi wametuzidi sana tu wa Tz.
Wana viwanda vya kutosha.
Bandari yao imechangamka kwelikweli ni meli kubwa zinapishana tu.
Airport yangu iko busy mno.
Kenya wana mzunguko wa pesa wa hali ya juu.
Huduma zao ziko faster uki compare na TZ.
Ila rushwa Kenya Rushwa ndo nyumbani.Suala la Rushwa liko juu kwa kweli.
Jiji la Nairobi. Ni jiji kubwa lina pilika pilika za kutosha. Nairobi kuna kila kitu. Hapa utaweza tengeneza chochote au kununua chochote kwa affordable price.mfano
Kenya wana spear za aina zote za magari duniani kwa gharama nafuu.Kwa maeneo yaa vijijini sijawahi fika. Naweza kukubali kuwa Kenya ni Capitalist aliyekomaa haswa.

Tukija kwa TANZANIA. Sisi pia siyo tupo nyuma ila na sisi kuna sehemu tumejipanga vyema ki social. Tuna mfumo unaogawanya keki ya taifa nchi nzima. Na hii ndo inatufanya tukue kiuchumi in slow motion na bado CCM inaendeleza utoaji services kijamaa.
Uchaguzi 2020 ndo rasmi tumerudishwa in monoparty system. Miradi yote ya maendeleo ya taifa hili yanaenda kuwa chini ya Central government kuanzia industries, public companies like TTCL,AIR TANZANIA.

TANZANITE sasa inaenda kumilikiwa na serikali under STAMICO.
Mfumo huu CCM imeamua iwe kama CCP ya China.


Kwa hiyo Usiiitumie TZ kupima maendeleo ya Ke.
Na usitumie KE kupima maendeleo ya TZ.

NOW KILA NCHI INAPITIA NJIA YAKE KUFIKIA UCHUMI WA JUU.
 
Declaration of interest.
Mimi ni Mtanzania na ninaipenda sana nchi yangu. Ninafanya shughuli zangu ndani ya TZ na Kenya. Naeleza kile nilichokishuhudia kwa macho yangu.
Kenya kiuchumi wametuzidi sana tu wa Tz.
Wana viwanda vya kutosha.
Bandari yao imechangamka kwelikweli ni meli kubwa zinapishana tu.
Airport yangu iko busy mno.
Kenya wana mzunguko wa pesa wa hali ya juu.
Huduma zao ziko faster uki compare na TZ.
Ila rushwa Kenya Rushwa ndo nyumbani.Suala la Rushwa liko juu kwa kweli.
Jiji la Nairobi. Ni jiji kubwa lina pilika pilika za kutosha. Nairobi kuna kila kitu. Hapa utaweza tengeneza chochote au kununua chochote kwa affordable price.mfano
Kenya wana spear za aina zote za magari duniani kwa gharama nafuu.Kwa maeneo yaa vijijini sijawahi fika. Naweza kukubali kuwa Kenya ni Capitalist aliyekomaa haswa.

Tukija kwa TANZANIA. Sisi pia siyo tupo nyuma ila na sisi kuna sehemu tumejipanga vyema ki social. Tuna mfumo unaogawanya keki ya taifa nchi nzima. Na hii ndo inatufanya tukue kiuchumi in slow motion na bado CCM inaendeleza utoaji services kijamaa.
Uchaguzi 2020 ndo rasmi tumerudishwa in monoparty system. Miradi yote ya maendeleo ya taifa hili yanaenda kuwa chini ya Central government kuanzia industries, public companies like TTCL,AIR TANZANIA.

TANZANITE sasa inaenda kumilikiwa na serikali under STAMICO.
Mfumo huu CCM imeamua iwe kama CCP ya China.


Kwa hiyo Usiiitumie TZ kupima maendeleo ya Ke.
Na usitumie KE kupima maendeleo ya TZ.

NOW KILA NCHI INAPITIA NJIA YAKE KUFIKIA UCHUMI WA JUU.
Sawa ufipa umeeleweka, vp Tundu Lissu alifika salama ubelgiji?
 
Declaration of interest.
Mimi ni Mtanzania na ninaipenda sana nchi yangu. Ninafanya shughuli zangu ndani ya TZ na Kenya. Naeleza kile nilichokishuhudia kwa macho yangu.
Kenya kiuchumi wametuzidi sana tu wa Tz.
Wana viwanda vya kutosha.
Bandari yao imechangamka kwelikweli ni meli kubwa zinapishana tu.
Airport yangu iko busy mno.
Kenya wana mzunguko wa pesa wa hali ya juu.
Huduma zao ziko faster uki compare na TZ.
Ila rushwa Kenya Rushwa ndo nyumbani.Suala la Rushwa liko juu kwa kweli.
Jiji la Nairobi. Ni jiji kubwa lina pilika pilika za kutosha. Nairobi kuna kila kitu. Hapa utaweza tengeneza chochote au kununua chochote kwa affordable price.mfano
Kenya wana spear za aina zote za magari duniani kwa gharama nafuu.Kwa maeneo yaa vijijini sijawahi fika. Naweza kukubali kuwa Kenya ni Capitalist aliyekomaa haswa.

Tukija kwa TANZANIA. Sisi pia siyo tupo nyuma ila na sisi kuna sehemu tumejipanga vyema ki social. Tuna mfumo unaogawanya keki ya taifa nchi nzima. Na hii ndo inatufanya tukue kiuchumi in slow motion na bado CCM inaendeleza utoaji services kijamaa.
Uchaguzi 2020 ndo rasmi tumerudishwa in monoparty system. Miradi yote ya maendeleo ya taifa hili yanaenda kuwa chini ya Central government kuanzia industries, public companies like TTCL,AIR TANZANIA.

TANZANITE sasa inaenda kumilikiwa na serikali under STAMICO.
Mfumo huu CCM imeamua iwe kama CCP ya China.


Kwa hiyo Usiiitumie TZ kupima maendeleo ya Ke.
Na usitumie KE kupima maendeleo ya TZ.

NOW KILA NCHI INAPITIA NJIA YAKE KUFIKIA UCHUMI WA JUU.
Hv nyie ufipa kwnn mnakuwa wajinga hv yn mambo ya kinchi nyie mnayapeleka kibinafsi,mbn wenzenu wakenya humu hawapo km nyie na wkt serikali yao inawaumiza kinoma Ikn wapo humu kupigania nchi yao, hata km slums zimejaa kenya lkn kina onyango humu wapo radhi kuongopa kuwa zinaondolewa ila nyie ufipa siasa zimewajaa tu, ila cc hatujali tunazd kuwapiga spana mpk mtaelewa tu
Screenshot_2020-11-20-11-37-51.jpeg
 
Declaration of interest.
Mimi ni Mtanzania na ninaipenda sana nchi yangu. Ninafanya shughuli zangu ndani ya TZ na Kenya. Naeleza kile nilichokishuhudia kwa macho yangu.
Kenya kiuchumi wametuzidi sana tu wa Tz.
Wana viwanda vya kutosha.
Bandari yao imechangamka kwelikweli ni meli kubwa zinapishana tu.
Airport yangu iko busy mno.
Kenya wana mzunguko wa pesa wa hali ya juu.
Huduma zao ziko faster uki compare na TZ.
Ila rushwa Kenya Rushwa ndo nyumbani.Suala la Rushwa liko juu kwa kweli.
Jiji la Nairobi. Ni jiji kubwa lina pilika pilika za kutosha. Nairobi kuna kila kitu. Hapa utaweza tengeneza chochote au kununua chochote kwa affordable price.mfano
Kenya wana spear za aina zote za magari duniani kwa gharama nafuu.Kwa maeneo yaa vijijini sijawahi fika. Naweza kukubali kuwa Kenya ni Capitalist aliyekomaa haswa.

Tukija kwa TANZANIA. Sisi pia siyo tupo nyuma ila na sisi kuna sehemu tumejipanga vyema ki social. Tuna mfumo unaogawanya keki ya taifa nchi nzima. Na hii ndo inatufanya tukue kiuchumi in slow motion na bado CCM inaendeleza utoaji services kijamaa.
Uchaguzi 2020 ndo rasmi tumerudishwa in monoparty system. Miradi yote ya maendeleo ya taifa hili yanaenda kuwa chini ya Central government kuanzia industries, public companies like TTCL,AIR TANZANIA.

TANZANITE sasa inaenda kumilikiwa na serikali under STAMICO.
Mfumo huu CCM imeamua iwe kama CCP ya China.


Kwa hiyo Usiiitumie TZ kupima maendeleo ya Ke.
Na usitumie KE kupima maendeleo ya TZ.

NOW KILA NCHI INAPITIA NJIA YAKE KUFIKIA UCHUMI WA JUU.
Peleka uzwazwa wko mbele...pimbi ww
 
Peleka uzwazwa wko mbele...pimbi ww

Mkuu tumefundishwa kuheshimu maoni ya mtu hata kama ni mabaya au mazuri kwa sababu tunatofautiana uwezo wa kufikiri pia hatujui unapotoa comment upo katika hali ya namna gani. Naweza kulaumu kumbe ni mtoto wako ndio kaahika simu.
 
Hv nyie ufipa kwnn mnakuwa wajinga hv yn mambo ya kinchi nyie mnayapeleka kibinafsi,mbn wenzenu wakenya humu hawapo km nyie na wkt serikali yao inawaumiza kinoma Ikn wapo humu kupigania nchi yao, hata km slums zimejaa kenya lkn kina onyango humu wapo radhi kuongopa kuwa zinaondolewa ila nyie ufipa siasa zimewajaa tu, ila cc hatujali tunazd kuwapiga spana mpk mtaelewa tu View attachment 1630640

Kwanza ujasoma nilichokiandika na hata ungekisoma usingeelewa.Ndo sifa tuliyo nayo waTZ ubishi ubishi ubishi.
Mkuu tumefundishwa kuheshimu maoni ya mtu hata kama ni mabaya au mazuri kwa sababu tunatofautiana uwezo wa kufikiri pia hatujui unapotoa comment upo katika hali ya namna gani. Naweza kulaumu kumbe ni mtoto wako ndio kashika simu.

Pia,Usipanick ni takwimu zinawapa sifa hiyo ya kuwa juu kiuchumi kuliko Tanzania. Na kihistoria wakati wa ukoloni Kenya ilikuwa ni Settlers economy. Hii inamaana kuwa after independence walibakia na rasilimali nyingi za British kuliko nchi yoyote East Africa.
Pia Kenya hawakuathiriwa na collapse of USSR 1980'S ECONOMIC DEPRESSION.
Kenya ilifaidika pia na kuanguka kwa EAC (1967-77).. especially kwenye sector ya anga ambapo Jomo Kenyatta airport ndo ilikuwa makao makuu ya EAST AFRICA AIRWAY'S.
Kenya pia ana uhusiano mzuri za kidiplomasia na nchi za Western. Mashirika makubwa yote makao makuu ni hapo Nairobi. Hii imewasaidia sana katika kuvutia wawekezaji wakubwa mfn uniliver.
MIMI NAJADILI HUU MJADALA KAMA MFANYABIASHARA NA BIDHAA ZANGU NANUNULIA NAIROBI NA MOMBASA NAONGEA KILE NILICHOKIONA NA AMBACHO NIMEKISHUHUDIA.
Narudia tena uchumi wa Kenya uko juu kuliko wa Nchi yoyote ya East Africa.

Wewe unakejeli kwa sababu hiyo Kenya huijui na haujawahi kukanyaga.
Hii ni statement ya baba yetu wa Taifa J.K NYERERE kipindi cha ujamaa....
"Hakuna haja ya kwenda ulaya,ukitaka kwenda ulaya nenda Nairobi"
 
Kwanza ujasoma nilichokiandika na hata ungekisoma usingeelewa.Ndo sifa tuliyo nayo waTZ ubishi ubishi ubishi.
Mkuu tumefundishwa kuheshimu maoni ya mtu hata kama ni mabaya au mazuri kwa sababu tunatofautiana uwezo wa kufikiri pia hatujui unapotoa comment upo katika hali ya namna gani. Naweza kulaumu kumbe ni mtoto wako ndio kashika simu.

Pia,Usipanick ni takwimu zinawapa sifa hiyo ya kuwa juu kiuchumi kuliko Tanzania. Na kihistoria wakati wa ukoloni Kenya ilikuwa ni Settlers economy. Hii inamaana kuwa after independence walibakia na rasilimali nyingi za British kuliko nchi yoyote East Africa.
Pia Kenya hawakuathiriwa na collapse of USSR 1980'S ECONOMIC DEPRESSION.
Kenya ilifaidika pia na kuanguka kwa EAC (1967-77).. especially kwenye sector ya anga ambapo Jomo Kenyatta airport ndo ilikuwa makao makuu ya EAST AFRICA AIRWAY'S.
Kenya pia ana uhusiano mzuri za kidiplomasia na nchi za Western. Mashirika makubwa yote makao makuu ni hapo Nairobi. Hii imewasaidia sana katika kuvutia wawekezaji wakubwa mfn uniliver.
MIMI NAJADILI HUU MJADALA KAMA MFANYABIASHARA NA BIDHAA ZANGU NANUNULIA NAIROBI NA MOMBASA NAONGEA KILE NILICHOKIONA NA AMBACHO NIMEKISHUHUDIA.
Narudia tena uchumi wa Kenya uko juu kuliko wa Nchi yoyote ya East Africa.

Wewe unakejeli kwa sababu hiyo Kenya huijui na haujawahi kukanyaga.
Hii ni statement ya baba yetu wa Taifa J.K NYERERE kipindi cha ujamaa....
"Hakuna haja ya kwenda ulaya,ukitaka kwenda ulaya nenda Nairobi"
Ona ulivyo fala unaongelea mambo ya tangia Uhuru yn unaongelea history hahahaha, ingekuwa hvyo leo hii uchumi wa China usingekuwa mkubwa kuliko wa Japan au British, FYI tz ishawahi kuwa juu kiuchumi zaidi ya Kenya Iicha ya hicho unachozungumza cjui settlers cjui nini, tz ina kila sababu ya kuwa juu kiuchumi zaidi ya nchi yoyote EA na ndicho tunachokifanya kwa ss na unaweza kuona reflection ya uchumi kwa mtu mmoja mmoja kati ya tz na kenya (inclusive economy) tz ndiyo inayoongoza hapa EA ss ww Baki na paper economy cc tunatoboa na nyie ufipa soon mtatii mtake msitake na mmeshaanza kutii mdogo mdogo
 
Back
Top Bottom