smttz
Member
- Sep 9, 2024
- 67
- 101
Salamu...
Hili lituhusu wote humu bila kujali itikadi zetu mbalimbali.
Taswira ndani ya taifa katika nyanja zote imekuwa ni hovyo sana.
Lengo la ujumbe huu ni kusema mabadiliko ya kweli hayataletwa na CHADEMA wala CCM,Ila ni kwa sisi kuamua kusimama kama raia na wananchi wa TANZINIA.
Hili lituhusu wote humu bila kujali itikadi zetu mbalimbali.
Taswira ndani ya taifa katika nyanja zote imekuwa ni hovyo sana.
Lengo la ujumbe huu ni kusema mabadiliko ya kweli hayataletwa na CHADEMA wala CCM,Ila ni kwa sisi kuamua kusimama kama raia na wananchi wa TANZINIA.