Ukweli mchungu, Lema mwisho wake 2020

 
hivo ndivo zilivo akili za Team Wema
hawachagui viongozi makini ,bali wanachagua ilimradi wakomeshe ccm...
na kuendeleza siasa zisizo na mpango!

huku kwetu kubenea hajaja hadi leo. na kampeni hakupiga
Siasa safi ndio zipi? Hii nchi bado maskini sana na tuambie inaongozwa na chama kuanzia uhuru! Watanzania watapiga hatua kubwa siku wakiachana na hiki chama.
 
Ww kaongele ya ngedere wenzako arusha ni ya cdm na lema ni raisi wa arusha
 
nenda kwa mkurupukaji ukachukue mshiko wako.ccm isubiri kupatwa kwa jua na ndio utakuwa mwisho wa ukuu wa ukijani.siku iliyonenwa na nabii i karibu.!
 
Kama anapaswa kufanya maendeleo ya jimbo lake kwann wamuweke ndani kwa miezi minne kwa kesi yenye dhamana ? Acha aseme tu
 
Ndoto yako hii haina tofaut na ndoto ya Lema.............
 
Nafananisha uwezo wako wa kufikiri na NZI WA CHOONI mwenye rangi ya KIJANI.
2020 utakuwa mwisho wa NZI WA KIJANI kama wewe na wote wenye akili kama zako.
 
Nadhani wewe unaishi Koromije au Bahi huwajui watu wa Arusha,mtu yoyote atakaepitishwa na Chadema awe Lema awe nani hata jiwe, ataishinda chama cha Magufuli
Suala lipo kwa uongozi wa CDM na si vinginevyo
Na kweli haijui Arusha vizuri huyu, Ccm kwa Arusha bado sana ,Cdm itadumu sana kwa Arusha
 
SISI NDIO WAKAZI WA ARUSHA........ALAF WEWE UNATOKWA POVU nn shida mzee?
 
Shida yako ni maendeleo yaje au kubenea? Kwenye madaraka kuna kitu kinaitwa "POWER DELEGETION" yani mgawanyo wa madaraka.....kuibua matatizo na changamoto yupo katibu wa mbunge....
 
Wengine wanatakaga aone replied za watu ili ajione katoa bonge la wazo kumbe colo tu#mfate kijana shupavu -mzee wa zeze ukombolewe na koromije shit.....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…