Ukweli mchungu kwa wanaume wote

Ukweli mchungu kwa wanaume wote

Mangwea1900

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2025
Posts
2,485
Reaction score
3,224
1. Kuwa mwangalifu na afya yako siku zote.

2. Jiwekeze kiuchumi kwani fedha itakuwa msaada wako umri ukienda.

3. Umri ukienda sana thamani inategemea hali yako ya kifedha.

4. Umri ukishaenda hakuna atakayekuajiri.

5. Watoto ulio nao wote wapi tayari kukaa na mama yao akiwa mzee kuliko wewe.

6. Ukimsamehe mwanamke uliyemfumania mwanamke huyo anakuona wewe fala.

7. Ukiwa na fedha hakuna mwanamke atakayekukimbia wala kukuvunjia heshima kiboya.

8. Ukiwa huna hela mke wako ataliwa chumbani na kitandani kwako.

9. Mali zako unazotafuta zitakuwa salama kwa watoto wako kuliko mke wako, waandae watoto wako.

10. Ukimwambia kila kitu mke wako ujue umejimaliza.
 
Hiyo #5 tukianza na wewe unaona inawezekana siku moja kumuacha baba yako aliyekuhangaikia ada ukasoma hata leo unajitambua then uka-stick na bimkubwa tu?
 
Back
Top Bottom