Ukweli mchungu: CHADEMA iko ICU

Hoja iliyowapa umaarufu ni kupinga ufisadi,tangu Lowassa wampokee wamekuwa hawaeleweki wanasimamia Nini hasa.
Ukisema demokrasia wanapigania itakuwa utani,maana ndani ya chama Mbowe haguswi.
Walisema katiba! ya kwao ndo kichefuchefu Mwenyekiti ni Yule Yule mkwilima.
Ndiyo maana nasema hoja yao ya katiba mpya wananchi wanaipuuza. Wao wenyewe hawaheshimu demokrasia hata uhuru wa mahakama.

Ukimsikia Mnyika leo unaona kabisa ama uelewa wake ni mdogo sana au kutapataka kwa kiumbe kabla ya kukata roho .
 
Chadema iko ICU sasa maccm woga wanaogopa nini kuwepo kwa Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi ili tuwe na uchaguzi huru na wa haki? Maccm wanahofia chama kinachopumulia kwenye mashine!? 😜😜😜

Bwashee, A brand is a voice and a product is a souvenir. Kwa chadema hiyo voice inakufa ndiyo maana hata products za voices zake hazionekani.

Angalia tu hata waandishi wa habari walioitikia wito wa press yao. Kila siku idadi yao inapungua. Mitaani ndiyo kabisa!! wanaozungumzia chadema na kesi ya Mbowe ni wachache mno na kila kukicha idadi inapungua. Ndiyo vyama vinavyokufa hivyo.
 
Kitendo cha Mbowe kuamua kuacha siasa za jukwaani na kuanza ugaidi ni ishara ya wazi kuwa ushawishi wa chama umekwisha. Chama sasa kinataka kuchoma filling stations na nyumba za watu.!!!
 
Ukisikia "kufa na tai shingoni" ndio huku. Yaani unakufa na watu wanaona lakini bado unabisha kwamba haufi. Makamanda uchwara wana ubishi wa kipuuzi.
 
Gaidi haongei hivi wewe!!! Acha UZUSHI!!!



Kitendo cha Mbowe kuamua kuacha siasa za jukwaani na kuanza ugaidi ni ishara ya wazi kuwa ushawishi wa chama umekwisha. Chama sasa kinataka kuchoma filling stations na nyumba za watu.!!!
 
Chadema iko ICU sasa maccm woga wanaogopa nini kuwepo kwa Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi ili tuwe na uchaguzi huru na wa haki? Maccm wanahofia chama kinachopumulia kwenye mashine!? 😜😜😜
Mkuu ungeanza kwa kuuliza ndani ya Chadema kuna huo uchaguzi huru wa Mwenyekiti? Charity begins at home
Gaidi haongei hivi wewe!!! Acha UZUSHI!!!

 
Kwa yeyote anayeifuatilia vyema Chadema bila unafiki na bila mhemuko atakubaliana na ukweli kuwa chama kiko ICU.

Baadhi ya makamanda wenye kuona mbali wameshaliona hili na wengi wamelieleza vyema. Kwa wale wasioona mbali na wengine wanaoongozwa tu na mihemuko bahati mbaya hawajaliona hili. Kila ukweli huu ukieleza wanatoa matusi na kudai walielezwa miaka mingi kwamba Chadema ingekufa lakini haijafa. Pengine kuna ukweli, lakini kuishi miaka mingi na kutokufa miaka ya nyuma haikuzuii kufa baadaye ama kwa uzenbe au naturally. Chama kinakufa.

Ukisikiliza maelezo ya Mnyika kwenye Press ya leo tarehe 21 October 2021 unaona kabisa kuwa chama kina umbwe ya uongozi, hakina mwelekeo na hakina washauri. Mnyika hatoshi, Lissu hatoshi na Mbowe pia hatoshi kwa siasa za sasa.

Makamanda kama mko wajanja anzisheni chama kingine na mje kwa namna nyingine inayogusa zaidi wananachi. Ajenda ya Katiba mpya haina mshiko kwa wananchi. Mtu asikudanganye,mtaji wa siasa ni watu. Hoja hata iwe nzuri namna gani bila kupata support ya watu hautoboi.

Makamanda kama kweli mnapenda upinzani anzisheni chama kingine na mje upya.
Wajinga walitumia/wanatumia fedha kuiua wameshindwa
Huwezi kushindana na Mungu!
Na so.mmeanza Tena !!? Mungu atawaonesha siku so nyingi
 
Mkuu ungeanza kwa kuuliza ndani ya Chadema kuna huo uchaguzi huru wa Mwenyekiti? Charity begins at home
Wakati huo. Nasisi tunajiuliza kwa nini ameamua kuwa gaidi, tena ushahidi utaanikwa wazi. Tusubiri kesi ipangiwe jaji.
 

Mkuu ungeanza kwa kuuliza ndani ya Chadema kuna huo uchaguzi huru wa Mwenyekiti? Charity begins at home
 
Kwa yeyote anayeifuatilia vyema Chadema bila unafiki na bila mhemuko atakubaliana na ukweli kuwa chama kiko ICU.

Baadhi ya makamanda wenye kuona mbali wameshaliona hili na wengi wamelieleza vyema. Kwa wale wasioona mbali na wengine wanaoongozwa tu na mihemuko bahati mbaya hawajaliona hili. Kila ukweli huu ukieleza wanatoa matusi na kudai walielezwa miaka mingi kwamba Chadema ingekufa lakini haijafa. Pengine kuna ukweli, lakini kuishi miaka mingi na kutokufa miaka ya nyuma haikuzuii kufa baadaye ama kwa uzenbe au naturally. Chama kinakufa.

Ukisikiliza maelezo ya Mnyika kwenye Press ya leo tarehe 21 October 2021 unaona kabisa kuwa chama kina umbwe ya uongozi, hakina mwelekeo na hakina washauri. Mnyika hatoshi, Lissu hatoshi na Mbowe pia hatoshi kwa siasa za sasa.

Makamanda kama mko wajanja anzisheni chama kingine na mje kwa namna nyingine inayogusa zaidi wananachi. Ajenda ya Katiba mpya haina mshiko kwa wananchi. Mtu asikudanganye,mtaji wa siasa ni watu. Hoja hata iwe nzuri namna gani bila kupata support ya watu hautoboi.

Makamanda kama kweli mnapenda upinzani anzisheni chama kingine na mje upya.

Utter Non Sense.
 
Mkuu recall historia ya nchi yetu, vya vya NCCR MAGEUZI enzi za Mrema leo vikoje . KANU nchini Kenya ilikuwa kila mahali, leo iko wapi. ZAPU nchini Zambia, leo iko wapi. Ni vyingi vimekufa.
Bwashee walichofanikiwa Chadema ni kuwafikia vijana wenye akili na kuwajenga kisiasa na ndio hao wanachukuliwa na CCM na kupewa vyeo.

Usije ukaamini hata siku moja kwamba Silinde au Lijualikali wanaipenda CCM.
 
Kwa yeyote anayeifuatilia vyema Chadema bila unafiki na bila mhemuko atakubaliana na ukweli kuwa chama kiko ICU.

Baadhi ya makamanda wenye kuona mbali wameshaliona hili na wengi wamelieleza vyema. Kwa wale wasioona mbali na wengine wanaoongozwa tu na mihemuko bahati mbaya hawajaliona hili. Kila ukweli huu ukieleza wanatoa matusi na kudai walielezwa miaka mingi kwamba Chadema ingekufa lakini haijafa. Pengine kuna ukweli, lakini kuishi miaka mingi na kutokufa miaka ya nyuma haikuzuii kufa baadaye ama kwa uzenbe au naturally. Chama kinakufa.

Ukisikiliza maelezo ya Mnyika kwenye Press ya leo tarehe 21 October 2021 unaona kabisa kuwa chama kina umbwe ya uongozi, hakina mwelekeo na hakina washauri. Mnyika hatoshi, Lissu hatoshi na Mbowe pia hatoshi kwa siasa za sasa.

Makamanda kama mko wajanja anzisheni chama kingine na mje kwa namna nyingine inayogusa zaidi wananachi. Ajenda ya Katiba mpya haina mshiko kwa wananchi. Mtu asikudanganye,mtaji wa siasa ni watu. Hoja hata iwe nzuri namna gani bila kupata support ya watu hautoboi.

Makamanda kama kweli mnapenda upinzani anzisheni chama kingine na mje upya.
Mavi Ni hatari
 
Haya uliyoongea ni matamanio ya kila mwanaccm, ila kwa bahati mbaya kizazi hiki sio cha ccm. Hapo mlipo ccm mtaendelea kutumia vyombo vya dola kuzuia Cdm kufanya siasa, ila ukweli uko wazi kuwa mmegota. Hiyo mbinu ya kuhujumu vyama vya upinzani ilifanikiwa huko nyuma, ila hiki ni kizazi kingine kabisa. Hiyo kazi ya kuanzisha chama kingine tumewaachia ccm na Tiss maana ndio mnaendekeza siasa outdated
a yeyote anayeifuatilia vyema Chadema bila unafiki na bila mhemuko atakubaliana na ukweli kuwa chama kiko ICU.

Baadhi ya makamanda wenye kuona mbali wameshaliona hili na wengi wamelieleza vyema. Kwa wale wasioona mbali na wengine wanaoongozwa tu na mihemuko bahati mbaya hawajaliona hili. Kila ukweli huu ukieleza wanatoa matusi na kudai walielezwa miaka mingi kwamba Chadema ingekufa lakini haijafa. Pengine kuna ukweli, lakini kuishi miaka mingi na kutokufa miaka ya nyuma haikuzuii kufa baadaye ama kwa uzenbe au naturally. Chama kinakufa.

Ukisikiliza maelezo ya Mnyika kwenye Press ya leo tarehe 21 October 2021 unaona kabisa kuwa chama kina umbwe ya uongozi, hakina mwelekeo na hakina washauri. Mnyika hatoshi, Lissu hatoshi na Mbowe pia hatoshi kwa siasa za sasa.

Makamanda kama mko wajanja anzisheni chama kingine na mje kwa namna nyingine inayogusa zaidi wananachi. Ajenda ya Katiba mpya haina mshiko kwa wananchi. Mtu asikudanganye,mtaji wa siasa ni watu. Hoja hata iwe nzuri namna gani bila kupata support ya watu hautoboi.

Makamanda kama kweli mnapenda upinzani anzisheni chama kingine na mje upya.
 
Kwa yeyote anayeifuatilia vyema Chadema bila unafiki na bila mhemuko atakubaliana na ukweli kuwa chama kiko ICU.

Baadhi ya makamanda wenye kuona mbali wameshaliona hili na wengi wamelieleza vyema. Kwa wale wasioona mbali na wengine wanaoongozwa tu na mihemuko bahati mbaya hawajaliona hili. Kila ukweli huu ukieleza wanatoa matusi na kudai walielezwa miaka mingi kwamba Chadema ingekufa lakini haijafa. Pengine kuna ukweli, lakini kuishi miaka mingi na kutokufa miaka ya nyuma haikuzuii kufa baadaye ama kwa uzenbe au naturally. Chama kinakufa.

Ukisikiliza maelezo ya Mnyika kwenye Press ya leo tarehe 21 October 2021 unaona kabisa kuwa chama kina umbwe ya uongozi, hakina mwelekeo na hakina washauri. Mnyika hatoshi, Lissu hatoshi na Mbowe pia hatoshi kwa siasa za sasa.

Makamanda kama mko wajanja anzisheni chama kingine na mje kwa namna nyingine inayogusa zaidi wananachi. Ajenda ya Katiba mpya haina mshiko kwa wananchi. Mtu asikudanganye,mtaji wa siasa ni watu. Hoja hata iwe nzuri namna gani bila kupata support ya watu hautoboi.

Makamanda kama kweli mnapenda upinzani anzisheni chama kingine na mje upya.
Wazazi tuna hasara! Sasa na wewe Wànasema tuna mtoto!
 
Bwashee walichofanikiwa Chadema ni kuwafikia vijana wenye akili na kuwajenga kisiasa na ndio hao wanachukuliwa na CCM na kupewa vyeo.

Usije ukaamini hata siku moja kwamba Silinde au Lijualikali wanaipenda CCM.
Siasa ni mwelekeo wa upepo Bwashee. Hakuna mwanasiasa anayependa chama chochote. Ndiyo maana unawaona wanakwenda huku na kurudi kule. Ni mwelekeo wa upepo wa wakati huo
 
Back
Top Bottom