akilinene
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 514
- 433
Kwa yeyote anayeifuatilia vyema CHADEMA bila unafiki na bila mhemuko atakubaliana na ukweli kuwa chama kiko ICU.
Baadhi ya makamanda wenye kuona mbali wameshaliona hili na wengi wamelieleza vyema. Kwa wale wasioona mbali na wengine wanaoongozwa tu na mihemuko bahati mbaya hawajaliona hili. Kila ukweli huu ukieleza wanatoa matusi na kudai walielezwa miaka mingi kwamba Chadema ingekufa lakini haijafa. Pengine kuna ukweli, lakini kuishi miaka mingi na kutokufa miaka ya nyuma haikuzuii kufa baadaye ama kwa uzenbe au naturally. Chama kinakufa.
Ukisikiliza maelezo ya Mnyika kwenye Press ya leo tarehe 21 October 2021 unaona kabisa kuwa chama kina umbwe ya uongozi, hakina mwelekeo na hakina washauri. Mnyika hatoshi, Lissu hatoshi na Mbowe pia hatoshi kwa siasa za sasa.
Makamanda kama mko wajanja anzisheni chama kingine na mje kwa namna nyingine inayogusa zaidi wananachi. Ajenda ya Katiba mpya haina mshiko kwa wananchi. Mtu asikudanganye,mtaji wa siasa ni watu. Hoja hata iwe nzuri namna gani bila kupata support ya watu hautoboi.
Makamanda kama kweli mnapenda upinzani anzisheni chama kingine na mje upya.
Baadhi ya makamanda wenye kuona mbali wameshaliona hili na wengi wamelieleza vyema. Kwa wale wasioona mbali na wengine wanaoongozwa tu na mihemuko bahati mbaya hawajaliona hili. Kila ukweli huu ukieleza wanatoa matusi na kudai walielezwa miaka mingi kwamba Chadema ingekufa lakini haijafa. Pengine kuna ukweli, lakini kuishi miaka mingi na kutokufa miaka ya nyuma haikuzuii kufa baadaye ama kwa uzenbe au naturally. Chama kinakufa.
Ukisikiliza maelezo ya Mnyika kwenye Press ya leo tarehe 21 October 2021 unaona kabisa kuwa chama kina umbwe ya uongozi, hakina mwelekeo na hakina washauri. Mnyika hatoshi, Lissu hatoshi na Mbowe pia hatoshi kwa siasa za sasa.
Makamanda kama mko wajanja anzisheni chama kingine na mje kwa namna nyingine inayogusa zaidi wananachi. Ajenda ya Katiba mpya haina mshiko kwa wananchi. Mtu asikudanganye,mtaji wa siasa ni watu. Hoja hata iwe nzuri namna gani bila kupata support ya watu hautoboi.
Makamanda kama kweli mnapenda upinzani anzisheni chama kingine na mje upya.