Ukweli kuhusu wewe na dunia

Hii post yako imenifanya kulog in na kuhoji hapo kwenye nyekundu. Nini maana yake? Kwa nini isiwe kwa lugha tunayoijua sisi? Nini chanzo chake? Kwa nini nisiamini kuwa ni ushetani fulani maana shetani ni roho?
 
Hii post yako imenifanya kulog in na kuhoji hapo kwenye nyekundu. Nini maana yake? Kwa nini isiwe kwa lugha tunayoijua sisi? Nini chanzo chake? Kwa nini nisiamini kuwa ni ushetani fulani maana shetani ni roho?

Ni kama vile kupumua, ambayo ukitamka meyiii unakuwa unaenda sawa na vibration ya ulimwengu
 

Wewe acha kuzungumzia maswala usiyoyajua, katika uzi huu wapi mtoa mada amesema / ameonyesha kuwa ye ni rafiki kipenzi wa shetani? Wapi ameabudu au kumfanya shetani ni Mungu wake? By the way hii mada haina uhusiano na DINI wala hayo maswala uliyoelezea. Mbona unakuwa mwepesi sana wa kuhukumu?
 

Hii miungu yao inayowafanya walaumu kila kitu sijui ikoje!
Chaajabu haiwezi hata kutenda zaidi ya kuwa ni kama wimbo
 
Hii ni meditation. Narudi tena kwako wewe ndugu ambaye maelezo yako yanajichanganya kama imani yenu mpya ambayo inapingana na uislam, ukristo, uyahudi, ubudha, uhindu, n.k. Soma hapo chini nilipotoa kwenye unachokiamini na ambacho hujui ushike wapi:

Hao unaowafuata wanadai wanaamini katika logic na reasoning. Yapi maoni yako? Usijifiche tafadhali.




 
Ndugu point yako ni nini hasa? Hebu ninakuomba utoe duku duku lako tuweze kujadili.
Ningekuomba ufuatilie nilikuwa naongelea nini. Na hayo unayoongezea ninadhani ni ya kwako.
 
Bora nyie mliojiumba, bila shaka mlitumia akili nyingi sana kudizain ubongo, macho, ngozi, vinyweleo n.k aisee nyie ni noumer i hope hamtokufa.

Hatujajiumba tumezaliwa.

Tatizo ni ufahamu wako hutaki kuushughulisha,
 

Maana ya MEYIII MEYIII ni nini?!
 
so you think there is no other power rather than yourself??

Sio ninadhani! Mimi najiamini mwenyewe kwa sababu bado sijajua hiyo mamlaka unayoisema wewe

Kama unamjua huyo mungu kwanini usimthibitishe hapa na sisi tumkubali? Kumbuka nataka kujua na sio kuamini au kudhani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…