leonardo da vinc
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 1,108
- 724
Hii dhana tuliyonayo watanzania ya kulalamika kwa kila jambo sio nzuri kabisa inajenga tabia ya kutofikiri nje boksi itaturudisha sana nyuma kimaendeleo kijana soma kwa manufaa yako na taifa kwa ujumla usiangalie nani amesomaje na amepataje Fanya sehemu yako mbona wengine wanafaulu