G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,565
- 8,427
Hakuna kitabu cha imani hasa hzi mbili Christian na Islamic ukakosa la kukosoa,so usiamini biblia pekee ndo ilikosewa.mzungu na mwarabu walishatuchanganya,kubali kataa ndivyo ilivyoBibilia kuna uongo mwingi tu ambao wakristo mnauamini lakini mnashindwa kuamini dunia ni duara? Unaamini nyoka anaweza kuongea lakini huamini dunia inaizunguka jua?